Chambelain ndani anatoka Giroud dakika ni ya 73 kwenda ya 74, bao ni 3 kwa bila. Arsenal wanaongoza
Mkuu unafanya wenzako watamani usingeandika hayo maneno juu hehehehe hata jela za ukonga wanajua game za mpira zimefikiaje mkuu Leo sio FA cup!
Leo dawa ni moja tu kuhakikisha Everton anatupiga nyingi.
Asanteni sana wadau wote, karibuni sasa tumalizie gem kwenye uzi wetu wa wazee wa msimamo mkali wa kutopanda wala kushuka haijalishi tumefungwa, tumefunga ama tumetoka sare.
Kumbe mkuu chama lako ndo tia maji tia maji sio...The Chosen One
na kama fitina ndio zimekuleta utaumbuka tu.
Teh Teh Teh Teh
Nyie si mlikua kitu kimoja jana Na Leo?
Teh Teh Teh