Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Wakuu nawafuatilia kwa karibu nikimuuguza mzee wangu na sasa nipo safarini naelekea Mtwara toka Dar
Tuendelee kupeana moyo hasa kwa nyakati hizi tukifuatilia kikombe cha FA...Kwenye ligi huku naona hatuna jipya zaidi kugombania 4th.
Wacha1 Mbu piere.Fm ARCHBISHOP Katavi Balantanda and all #Haters
Pamoja sana mkuu na pole sana kwa kumuuguza mzee Kwa niaba ya Gunners fans wa jukwaa hili naomba nikutakie kila la kheri umuuguze mzee salama na Afya yake ikae poa.
#COYG .
Last edited by a moderator: