arsenali anakoswa tena. Shenzy! anaokoa mara ya nne. Arsenali hawajafika kwa kipa wa Hull mpaka saa hii..
Meyla, yellow card. Leo kuna red hapa
Mkuu mimi na fitna wapi na wapi? Ni kuburudika tu na dondoo za updates, ila karibu
ramseyyyyyyyyyyyyyy 1-0
Duh ulikuwa kwenye kichwa changu nilitaka kusema neno Besela nikaona nitaonekana wa zamani hehehe Leo nawapa Nguvu wale watani na mpinzani wanaocheza baadae watoe tu draw!Livermooore! Anagongesha besela hapa.
ayaaa...connection to the DStv is lost. Do not switch off your decoder.....pambaf hawa DStv na hela zote tunazolipa.