Ila tuseme kweli; ARSENAL FC wapeni wachezaji wenu mishahara mizuri ..
Giroud analipwa paundi 60,000. kwa wiki..😕
Giroud analipwa paundi 60,000. kwa wiki..😕
Wambea wamekesha macho bureeee
Wambea wamekesha macho bureeee
Ila tuseme kweli; ARSENAL FC wapeni wachezaji wenu mishahara mizuri ..
Giroud analipwa paundi 60,000. kwa wiki..😕
halafu wanategemea afunge magoli kama SUAREZ,AGUERO.....ni sawa na kununua corolla utegemee perfomance ya BMW M3.........
Suarez anachota paundi 200,000 kwa wiki.
Kun Aguero anachota paundi 220,000.
Eden Hazard anachota paundi 185,000 kwa wiki.:smile-big:
Yaya Toure anachota paundi 200,000 kwa wiki.
Samir Nasri anachota paundi 140,000 kwa wiki.
Wayne Rooney anachota 300,000 kwa wiki.
I did believe in that once, maybe because I am not one of the shareholders receiving massive and fatty dividends, not anymore, its all about the squad, the team, motivation, tactics, will to win and preparations...hes past it.....AF went, and so did others...all good things come to end sometime...its a matter of when to decide this...hes still and will be a legend...why wait for the sack....
Manager wa Everton aliyekuwa anasifiwa kwa sababu ati wamewafunga Gunners leo kagonga mwamba .... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
COYG ..... ..... haters kuleni mawe.
Watani leo Kupata nafasi ya 4 mtashangilia kama ndio mmekuwa mabingwa.
Kama kawaida yenukila mwaka mnataka 4th place, then mnaanza kumlaumu Wenger!
Khaaaa!
Inabidi mbadilike sasa kila mwaka kuwania 4th place ni mediocrity
No 4 kwa Arsenal ni sawa na ubingwa,next season wataukosa hata huo ubingwa wao
....hahahaha, a familiar song but a different lyrics!
#MshajizoeleaSasa .
Wakuu nawafuatilia kwa karibu nikimuuguza mzee wangu na sasa nipo safarini naelekea Mtwara toka Dar
Tuendelee kupeana moyo hasa kwa nyakati hizi tukifuatilia kikombe cha FA...Kwenye ligi huku naona hatuna jipya zaidi kugombania 4th.
Wacha1 Mbu piere.Fm ARCHBISHOP Katavi Balantanda and all #Haters
Wakuu nawafuatilia kwa karibu nikimuuguza mzee wangu na sasa nipo safarini naelekea Mtwara toka Dar
Tuendelee kupeana moyo hasa kwa nyakati hizi tukifuatilia kikombe cha FA...Kwenye ligi huku naona hatuna jipya zaidi kugombania 4th.
Wacha1 Mbu piere.Fm ARCHBISHOP Katavi Balantanda and all #Haters
Utaona game ya mwisho kina Ramsey watakavyoshangilia.Next season mtalia sana
Utaona game ya mwisho kina Ramsey watakavyoshangilia. Next season mtalia sana