Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ars.jpg
attachment.php
 
Wazo la leo wanaume wenzangu wapenda football "ukimpata demu anamoyo wa uvumilivu kama Asernal OA kabisa usisite"
Alamsiki
 
Jamani Wacha1 hebu tulia kwanza!

Kila mkifungwa unaleta visingizio vya kuonewa... Oh refa, offside, lele lile lolo... Maneno mule flu kila siku!

Kubali timu mbofumbofu na kucha ni zobwe... You need overhaul!

It is no fun tena kuwa watani na Arsenal...heri Liverpool wameamka!
 
Kukosekana kwa ramsey, walcott, ozil, wilshere ni sawa na liverpool bila Gerald, Sturridge, na Suarez...mtamlaumu wenger bure, kuanzia pale jwa arteta mpaka kwa giroud wale wote walitakiwa wawe subs.

Mkuu bado unajifananisha wewe na liverpool?😕😱

"Nlikuwepo":bolt:
 
Kwa mwendo huu tusahau FA cup. Kilichobaki tuanze kufikiria jinsi ya kupata kombe letu la nafasi ya 4 maana Wigan watatupiga ubaya jmosi ijayo. Prediction Wigan 2-1 Arsenal. Kama ni mpenzi wa Arsenal na una bet jikamulie pesa mapema.
 
Kwa mwendo huu tusahau FA cup. Kilichobaki tuanze kufikiria jinsi ya kupata kombe letu la nafasi ya 4 maana Wigan watatupiga ubaya jmosi ijayo. Prediction Wigan 2-1 Arsenal. Kama ni mpenzi wa Arsenal na una bet jikamulie pesa mapema.

Mkuu tuko mbele game 1 kwa everton, sisi ya 33 wao ya 32 wakishinda next game huenda tusiwapate tena kwenye nafasi ya nne. Kumbuka tumewazidi only a point.
 
Duh! Wacha1 utaleta picha au nizimwage mimi hapa asubuhi???! Khe khe khe khe
Poleni sana wakuu..majirani...!!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimeshatupia hapo moja, jirani yako akipatwa msiba huwezi kuweka kigodoro kwako ni lazima muomboleze pamoja


Khe Khe Khe Khe Khe!

Ata Mimi nimeamia kwa jirani zetu kuwafariji!

Mkuu Mentor msaidie huyo Wacha1 kuzimwaga picha! Naona anauchungu sn Wa kua nafasi ya 5 kutoka kuogoza ligi! Khe Khe Khe Khe

Specialist in Failure! Khe Khe Khe Khe
 
Last edited by a moderator:
Khe Khe Khe Khe Khe!

Ata Mimi nimeamia kwa jirani zetu kuwafariji!

Mkuu Mentor msaidie huyo Wacha1 kuzimwaga picha! Naona anauchungu sn Wa kua nafasi ya 5 kutoka kuogoza ligi! Khe Khe Khe Khe

Specialist in Failure! Khe Khe Khe Khe


When i go to the press conference before the game in my mind the game has already started - Jose Mourinho 'the special one'
 
NGOJA NIWEKE MTAZAMO WANGU

Tusipepese macho....kocha wetu ameshtukiwa mbinu zake na wapinzani..bahati mbaya amestick hataki kubadilika....Sio ajali au.Coincidence kupigwa 6-3, 5-1 kisha 6-0 kisha 3-0 na Direct opponents ukawalaumu wachezaji hii ni TACTICAL bankrupcy ya Kocha

Ukitazama kw umakini mechi zote hizo...tunapoteza mipira kwenyr kiungo ya chini na Adhabu yake ni goal kila Counter attack kwani Defence wako High line karibu na viungo hivyo kila ikipitishwa Counter kuna beki atakuwa Out of Position tu...

Unajiuliza maswali magumu...Kocha mwenye Eksipiriensi ya miaka 18 EPL na mechi 1003 za Top Flight kwenye Jezi z Arsenal...hawez ku twist Tactics zake?

Timu iko too predictabe...no Displine, no Centre Foward kwa.kweli tuna LAMPOST pale mbele

Wenger sidhani km atakaa abadilike kuendana na modern game Tactical Dimensions...Aondoke tu kabla hajaharibu LEGACY yake lakini atuachie FA cup..

Tutamjengea Sanamu...kuubwa nje ya uwanja
 
Medical staff nayo ichunguzwe Timu gani kila msimu katika wakati muhimu kabisa mnakuwa na nusu ya timu nje?

Wenger siku akiondoka asimsahau Giroud wake...
 
simlaumu Wenger kwani yupo kwa lengo maalum
Wachezaji wetu wengi wanatoka Ufaransa jiulize kwanini?
Jaribu kumfuatiliya zaidi ndio mutamjuwa yeye nani
 
.......they said it was all over? It is now......#COYG , let us pick up our pieces and move on!

Tuanzane na #postmortem sasa, au bado wenzangu mna matumaini ya #lifesupportmachine aka "mathematically" speaking we still have chances for this and that?

Bro Wacha1 haya matokeo yanafadhaisha, but we are the #Gunners , there's still life after all this trauma..... We'll always bounce back,....keeping the faith!

.... Richard wapi analysis zako mkuu, Balantanda, njoo utupie madongo huku, Viper, rubaman, Wandugu Masanja, Piere. Fm vipi banaa, tuendeleeni kubanana humu!

......#COYG , it's a battle cry, Together We Stand!!!!

ImageUploadedByJamiiForums1396916590.851240.jpg





#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom