Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
.......they said it was all over? It is now......#COYG , let us pick up our pieces and move on!
Tuanzane na #postmortem sasa, au bado wenzangu mna matumaini ya #lifesupportmachine aka "mathematically" speaking we still have chances for this and that?
Bro Wacha1 haya matokeo yanafadhaisha, but we are the #Gunners , there's still life after all this trauma..... We'll always bounce back,....keeping the faith!
.... Richard wapi analysis zako mkuu, Balantanda, njoo utupie madongo huku, Viper, rubaman, Wandugu Masanja, Piere. Fm vipi banaa, tuendeleeni kubanana humu!
......#COYG , it's a battle cry, Together We Stand!!!!
View attachment 149788
#MosKwito !
Uzuri wa wapenzi wa Arsenal sio plastic fans wala Glory hunters...Wengi wetu ni die hard Gunners.....
Once a Gunner, always a Gunner ......
#TulishazoeaSisi ......
All in all AW anatakiwa abadili mfumo wake wa usajili....Awe anasajili kulingana na mahitaji ya timu na sio anasajili kuwafurahisha watu/mashabiki...i.e kusajili kwa shinikizo...Timu kwa muda mrefu inahitaji kuwa striker wa daraja la juu, striker wa aina ya RVP au CR.....Yeye anamng'ang'ania tu Giroud....
Arsenal imekuwa ni timu ambayo inaanza vizuri ligi kiasi cha kuwatia matumaini mashabiki wake, lakini inapotokea majeruhi tu, timu inapoteza muelekeo....Mfano ni msimu huu, mara baada ya kuumia kwa Ramsey, Ozil na Wilshere timu ilipoteza kabisa muelekeo.....Endapo AW angekuwa na wachezaji mbadala wa hao timu ingeendelea kuwa imara, mfano mzuri ni Man City au Chelsea, hawa hata wawe na majeruhi kiasi gani hawatetereki kwa sababu wana wachezaji wengi na wazuri ambao ni mbadala wa 1st eleven.....
Yote kwa yote ARSENAL bado ni timu ninayoipenda kwa dhati ya moyo wangu....
Once a Gunner, always a Gunner....
Together We Stand....