Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona mtanange unachezewa katiki na timu zote zinabadilishana kumiliki mpira.
 
Dakika ya 22 bado ni bila bila. Timu zote zinacheza kwa kuogopana vile.
 
Mkuu FFP Haizuii timu lununua wachezaji so kwa timu kama Chelsea au Man City kununua wachezaji hao wote kwa msimu mmoja siyo tatizo, tatizo ni kwamba hizo pesa zimetoka wapi??
FFP Inataka timu inunue wachezaji kwa kutumia pesa ambayo inatokana na mzunguko wa mapato mbalimbali katika timu yaani kama vile pesa ya matangazo, mauzo ya jezi, mikataba mbalimbali n.k inachokataza FFP kwa mtu binafsi kuja kutoa pesa zake kununua wachezaji kama ilivyo kwa kina Sheikh Mansour wanavyotoa pesa zao walizozichuma kwenye mafuta na kuziingiza katika timu na kuanza kulangua wachezaji.
Hivyo ndivyo ninavyoilewa FFP.

My point ni kwamba tulifikiri FFP spending power ya timu kubwa itapungua lakini so far hakuna dalili na baadhi ya klabu zimeanza kutafuta option ya kukwepa hizo sheria,mfano
1.Kusaini mikataba mirefu ya wadhamini wa jezi ie Qatar,Emirates

2.Kuuza right za majina ya viwanja like Etihad,Sport Direct Arena na kuna tetesi kuna makampuni wanaitaka Santiago Bernabeu na Old Trafford
 
Hii mechi nimeamua kuiangalia come what may hata kama Wigan watatufunga!!!!!
 
My point ni kwamba tulifikiri FFP spending power ya timu kubwa itapungua lakini so far hakuna dalili na baadhi ya klabu zimeanza kutafuta option ya kukwepa hizo sheria,mfano
1.Kusaini mikataba mirefu ya wadhamini wa jezi ie Qatar,Emirates

2.Kuuza right za majina ya viwanja like Etihad,Sport Direct Arena na kuna tetesi kuna makampuni wanaitaka Santiago Bernabeu na Old Trafford

Nimekupata mkuu.
 
Fortune anapiga attempt moja hatari hapa but Fabiansk anaukamata mpira.
 
Back
Top Bottom