70% of our players don't deserve to play in Arsenal's shirt kwa kweli
Kiwango kibovu kabisa Giroud is a dam.. Shit kaendeleza upumbavu wake duuh hatari saana.
Kukosekana kwa ramsey, walcott, ozil, wilshere ni sawa na liverpool bila Gerald, Sturridge, na Suarez...mtamlaumu wenger bure, kuanzia pale jwa arteta mpaka kwa giroud wale wote walitakiwa wawe subs.
Duh stili tunaendelea na the same mistake kwamba msimu unapoanza tunaanza vizuri but at the end of the season tunashindwa kuwa vizur nadhani Wenger na bench lake la ufundi wanatakiwa kufanya kitu cha ziada.
I kind agree with you on this. Hata hivyo, huu siyo msimu pekee ambao Arsenal wame-disappoint mashabiki wake.
Imekuwa hivi kila msimu kwa muda mrefu sasa. Halafu wachezaji wengi wa Arsenal hawa-improve individually.
Bado wanacheza kwa kiwango kile kile walichokuwa nacho wakati bado wakiwa teenagers.
Kwenda zako wewe......Teh Teh Teh
Haka kajukwaa misiba kila Siku!
Kutoka kuongaza ligi kwa nusu msimu mpk kugombania nafasi ya 4?!!!
nimechunguza nimeona arsenal hawana plan B hili ndo tatizo kuu na leo hata mkali wangu sagna mzee wa makrosi matamu ya ukweli kashindwa kabisa kupiga krosi kupanda kwa baines kulimshinda kumfanya awe comfortable na inexperiece ya monreal pia imewacost sijui anatetemeka nini alikuwa hajiamini? Cha kufanya ni kuwa na plan b kama plan a ikifeli na hiyo inaletwa kwa kuwa na wachezaji aina tofauti wachezaji wengi mlioajaza wa aina moja pasi nyingi na mipira mifupi mifupi hawapendelei sana mpira wa krosi wala mashuti chamberlain sub yake ilisaidia sana coz ana spidi walcot asingekuwa majeruhi naamini tungekuwa tunaongea mengine sasa msingekuwa vibaya hivi coz yule anauchezaji wa tofauti na players wengine na hicho ndo mnachokimiss sasa.
Pole sn wadugu!