Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Okay.. tumefungwa vibaya.. Full Stop.
Naona ile best pair ya CB (Per na Laurent) inaendelea kutengeneza record
Okay.. tumefungwa vibaya.. Full Stop.
Naona ile best pair ya CB (Per na Laurent) inaendelea kutengeneza record
umechukua???Nimechukua points 6 Kwa Man City
Points 4 Kwa Arsenal
Points 3 Kwa Liverpool first leg!
Nakuja kuchukua zingine Tarehe 27. Nothing to lose now!
Ili uwe shabiki wa chelsea lazima
uwe na sifa zifuatazo :uwe
umetoka shamba porini yaanh wa
kijijini
:uwe umeanza kushabikia
mpira baada ya mourinho kuwa
kocha wa chelsea ndio maana
hapa tz hakuna cheltako fan
above 30 ambaye kazaliwa
dar
:kama uko above 30 kisha
umezaliwa dar utakuwa msaliti
hasa kutoka arsenal au liverfool
Point yako ni nini sasa hapo?
umechukua???
kwikwikwikwiwii... bhwahahahahahahaaa.... khekhekhekheheeeeeeeeeee
yani ulivyoweka utadhani wewe ndio Eden Hazzard, kumbe mmatumbi tu hata huko London hawakujui
Haya baba, time will tell
Matanga hayakwishi hadi msiba wa mtu mwingine tuhamie kwake...ombeeni man utd afungwe leo tuhamie kwao! La sivyo imekula kwenu...khe khe khe khe khe khe khe khe
![]()
Kama msimamo wa ligi unavosema
Hadi sasa as it stands.
Ahh Kumbe Belo upo? Simu yako imetengenea? Weka kwenye charge City inakusubiri Leo. HeheKuna watu hawajaonekana hapa tangu msiba umetokea,tunawaomba mrudi jukwaani
Richard,Rejao,Wacha1,Ulimakafu,godsonswai,jong afrikaanse,BAK,Shadow,pachanya,Viper,Wandugu Masanja
Ahh Kumbe Belo upo? Simu yako imetengenea? Weka kwenye charge City inakusubiri Leo. Hehe
Ahh Kumbe Belo upo? Simu yako imetengenea? Weka kwenye charge City inakusubiri Leo. Hehe
wakati kulipokuwa na utawala wa mpito;
sasa mmerudi kule mlikozoea..poleni sana ARSENAL FC.
cc. Ntuzu na Mentor:shocked: