Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Dah dah dah Janjaweed hebu nikumbushe first leg yetu na Liver ilikuwaje? Mbona kutafuta kujiaibisha mwenyewe mkuu?
Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Arsenal leo? Si ninyi mliosema Chelsea haina wachezaji wa kumfunga Man city....haya bana vyenu vidole kubofya...sie mpira tu...!!!
Mkuu Mentor Hongera sn Rafiki yng!
Liverpool ndio alie baki ili tumalize biashara ya EPL msimu huu!
Last edited by a moderator: