Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal kwa kulalamika hamjambo,
Mna kiusemi chenu ' tuna majeruhi wengi sana'

Hata mngekuwa nyinyi (sijui timu gani) mngelalamika kwa kazi aliyofanya refa... Anyway, UEFA wanajua kuweka marefa wao kwa malengo yao. Robben alitakiwa apewe kadi ya njano alipo dive mara ya kwanza na kama refa angekuwa macho angesingetoa penati.
 
poleni arsenal fans,ni kama upo ktk wodi ya wagonjwa mpo hoi,jirani kitanda cha pili ambao ndio nyinyi arsenal mmekufa,mimi ni manchester utd nipo kitanda hiki cha kati,arsenal kushoto ndio mshakufa,man city yupo kulia anangoroma kama anakata roho,kitanda cha miguuni yupo chelsea kalala kajinyoosha kimya hajulikani kama anapumua au la!ni shidaaaa

we mjumbe una maneno makali wewe!
 
Belo umekazana kuiombea njaa Arsenal mpaka kwenye uzi wa team yako umepotea? Kama huna matokeo ATL 4-1 Milan (5-1 on aggregate)

Ze spesho wani upo? Za siku nyingi mkuu? Asenali bye bye kama ilivyokua kwa yeboyebo kule Alexandria juzi. Ni taarifa tu ndugu mjumbe, naomba kuwasilisha.
 
Last edited by a moderator:
Hata mngekuwa nyinyi (sijui timu gani) mngelalamika kwa kazi aliyofanya refa... Anyway, UEFA wanajua kuweka marefa wao kwa malengo yao. Robben alitakiwa apewe kadi ya njano alipo dive mara ya kwanza na kama refa angekuwa macho angesingetoa penati.

Refa alikuwa mbovu sana sio kwa Arsenal tu hata kwa Bayern

1.Roben alidive na alistahili yellow card mwanzo

2.Arteta alistahili red card

3.Podolski alicheza rafu kabla hajafunga goli

4.Bayern hawakustahili kupewa penati

In general kiwango cha refa kilikuwa very poor.I hope leo umekubali Ozil ni big match flop
 
Arsenal tujilaumu wenyewe, tungekuwa wa kwanza katika group stage tungekuwa na nafasi ya kuingia robo fainali... Mwakani inatakiwa tununue vifaa vya kuuwa jeshi
 
Hata mngekuwa nyinyi (sijui timu gani) mngelalamika kwa kazi aliyofanya refa... Anyway, UEFA wanajua kuweka marefa wao kwa malengo yao. Robben alitakiwa apewe kadi ya njano alipo dive mara ya kwanza na kama refa angekuwa macho angesingetoa penati.

Assume Robben kapewa kadi ya njano, halafu Podolski hajapewa kadi hapo unaonaje??
Refa alikuwa anajitahidi kutokuwa na filimbi nyingi na ame-balance kwa pande zote.
Mlichemsha game ya kwanza fulltop. Leo Bayern wakawa wanafanya kazi ya kumiliki mpira kwa sana ili Arsenal wasicheze
 
Refa alikuwa mbovu sana sio kwa Arsenal tu hata kwa Bayern

1.Roben alidive na alistahili yellow card mwanzo

2.Arteta alistahili red card

3.Podolski alicheza rafu kabla hajafunga goli

4.Bayern hawakustahili kupewa penati

In general kiwango cha refa kilikuwa very poor.I hope leo umekubali Ozil ni big match flop

....kumbe uliona ubovu wa Refa sema ulitaka ushahidi tu au?!

ImageUploadedByJamiiForums1394575961.281322.jpg

....😉))


#MosKwito !
 
Belo umekazana kuiombea njaa Arsenal mpaka kwenye uzi wa team yako umepotea? Kama huna matokeo ATL 4-1 Milan (5-1 on aggregate)

Milan inahitaji kujengwa upya,then Atlético wako vizuri kwa sasa hata hao Bayern akikutana nao anaweza akafungishwa virago.Arsenal wa kujilaumu wenyewe mimi sijaona uzuri wowote wa Bayern kwenye game zote mbili
 
Last edited by a moderator:
Refa alikuwa mbovu sana sio kwa Arsenal tu hata kwa Bayern

1.Roben alidive na alistahili yellow card mwanzo

2.Arteta alistahili red card

3.Podolski alicheza rafu kabla hajafunga goli

4.Bayern hawakustahili kupewa penati

In general kiwango cha refa kilikuwa very poor.I hope leo umekubali Ozil ni big match flop

Ozil nasikia kacheza karibia kipindi chote cha 1 akiwa na maumivu(kaumia)... afu ukiangalia leo kacheza sana upande wa kulia badala ya katikati anapopendelea, pia huwezi kutegemea acheze vyema akiwa na mtu kama Giroud... Mpe msimu mwingine ndo uje na judgements. Bado nina matumaini makubwa ata bounce msimu ujao.
Podolski unaweza kusema ni rafu lakini ilikuwa weak push kama aliyojiangusha Robben (penati)... Anyway, maamuzi ya marefa ktk CL vs timu za England ndo huu hasa zinapocheza na top teams toka Spain/Germany.
 
Assume Robben kapewa kadi ya njano, halafu Podolski hajapewa kadi hapo unaonaje??
Refa alikuwa anajitahidi kutokuwa na filimbi nyingi na ame-balance kwa pande zote.
Mlichemsha game ya kwanza fulltop. Leo Bayern wakawa wanafanya kazi ya kumiliki mpira kwa sana ili Arsenal wasicheze

acha upumbavu
 
Ozil nasikia kacheza karibia kipindi chote cha 1 akiwa na maumivu(kaumia)... afu ukiangalia leo kacheza sana upande wa kulia badala ya katikati anapopendelea, pia huwezi kutegemea acheze vyema akiwa na mtu kama Giroud... Mpe msimu mwingine ndo uje na judgements. Bado nina matumaini makubwa ata bounce msimu ujao.
Podolski unaweza kusema ni rafu lakini ilikuwa weak push kama aliyojiangusha Robben (penati)... Anyway, maamuzi ya marefa ktk CL vs timu za England ndo huu hasa zinapocheza na top teams toka Spain/Germany.

Ozil anaweza kuweka historia ya kuwa mchezaji ambaye ............... kutokea kwa timu za England
 
Milan inahitaji kujengwa upya,then Atlético wako vizuri kwa sasa hata hao Bayern akikutana nao anaweza akafungishwa virago.Arsenal wa kujilaumu wenyewe mimi sijaona uzuri wowote wa Bayern kwenye game zote mbili

Teh teh teh teh, Bayern wamesaidiwa sana na refa, match ya kwanza ingeisha bila ya red sijui ingekuaje? penalty ya match ya kwanza na ya leo ya Robben deserves an Oscar
 
Ozil anaweza kuweka historia ya kuwa mchezaji ambaye ............... kutokea kwa timu za England

LOL hamshindi Sebastian Veron, etc. Ozil angekuwa kacheza zaidi ya msimu mmoja ningekubali mnachosema. Isitoshe effects yake ilionekana alipohamia.... Bottom line jamaa kawa burnt out na mikemike ya mpira wa England, no winter breaks kama alipotokea Spain na Germany... hata Mertesacker alikuwa anaonekana ovyo msimu wa kwanza lakini angalia msimu huu.
 
Teh teh teh teh, Bayern wamesaidiwa sana na refa, match ya kwanza ingeisha bila ya red sijui ingekuaje? penalty ya match ya kwanza na ya leo ya Robben deserves an Oscar

Game ya kwanza Arsenal walipaswa kuongoza 2-0 kabla ya red card,refa wa leo kiwango chake kilikuwa kibovu,kafanya makosa mengi mno
 
LOL hamshindi Sebastian Veron, etc. Ozil angekuwa kacheza zaidi ya msimu mmoja ningekubali mnachosema. Isitoshe effects yake ilionekana alipohamia.... Bottom line jamaa kawa burnt out na mikemike ya mpira wa England, no winter breaks kama alipotokea Spain na Germany... hata Mertesacker alikuwa anaonekana ovyo msimu wa kwanza lakini angalia msimu huu.

Kinachotokea sasa ni zaidi ya aibu[perfomance-wise] yaani mnakuwa kama mnacheza mpo nusu uwanjani.
 
Kinachotokea sasa ni zaidi ya aibu[perfomance-wise] yaani mnakuwa kama mnacheza mpo nusu uwanjani.

Hahahaha UTD hamna cha kutucheka msimu huu na mnaweza kuwa katika hii coma msimu ujao vile vile. Kumbuka Olympiacos wanakuja kuwasha moto Olf Trafford next week. Ebana umesikia the Glazers wanavyoanza kuuza vipande vipande? 10% ya UTD imeshauzwa, muda si mrefu UTD itageuka kama ule mchezo wa mzee Jangala na mzee Kagunga
 
Back
Top Bottom