DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Hahahaha UTD hamna cha kutucheka msimu huu na mnaweza kuwa katika hii coma msimu ujao vile vile. Kumbuka Olympiacos wanakuja kuwasha moto Olf Trafford next week. Ebana umesikia the Glazers wanavyoanza kuuza vipande vipande? 10% ya UTD imeshauzwa, muda si mrefu UTD itageuka kama ule mchezo wa mzee Jangala na mzee Kagunga
Sisi matatizo yetu tunayakubali na tutayatatua kabla ya msihuu kuisha ...msimu ujao ukianza normal service will be resumed.
Yeah nimeona kuhusu Glazer ila mpaka sasa hakuna tatizo kwa upande wa club kuhusu hatua waliyochukua