Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Penaaaaaalt roben anapata penalt hapa dakika ya 90.
 
VEryyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy goooooooooooooooooooooooood save from FABIANSI
 
Nadhani leo kipa wa arsenal ni man of the match..
 
Atletico kampiga AC goli 4....hii ya kwetu kama refa wa 1st leg angekuwa fair basi Buyern alikuwa anaaga mashindano..sio mbaya Gunners always Gunners
 
Haisaidii kitu fa,capital one,uefa kote ouuutttt kwenye ligi nako nafasi ya tatu. Huu mwaka wa shetani tena.
veryyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy goooooooooooooooooooooooood save from fabiansi
 
Atletico kampiga AC goli 4....hii ya kwetu kama refa wa 1st leg angekuwa fair basi Buyern alikuwa anaaga mashindano..sio mbaya Gunners always Gunners

Arsenal kwa kulalamika hamjambo,
Mna kiusemi chenu ' tuna majeruhi wengi sana'
 
poleni arsenal fans,ni kama upo ktk wodi ya wagonjwa mpo hoi,jirani kitanda cha pili ambao ndio nyinyi arsenal mmekufa,mimi ni manchester utd nipo kitanda hiki cha kati,arsenal kushoto ndio mshakufa,man city yupo kulia anangoroma kama anakata roho,kitanda cha miguuni yupo chelsea kalala kajinyoosha kimya hajulikani kama anapumua au la!ni shidaaaa
 
Back
Top Bottom