Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Si unaona unakodolea mpira wa timu zinazocheza ndinga la uhakika unafikiri hizi ni timu kama ka=timu kako kanakonunua matokeo? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wacha1
 
Last edited by a moderator:
ha ha haaaaa, jamaa zako wote wamezima simu saa hii wewe bado unapambana.
HF...team iko vizuri, shida ni ndogo tu kwamba bado hatujijamini na hatukai na mpira, ule mpira wetu tuliozoea hatujaucheza bado, kama refa hatawabeba hawa mbwaku...basi tuna goli zaidi ya 3 leo...
Ngoja turudi mapumziko mtaona maajabu ya futbo.
 
Robben ms.enge. sana anadhani anawezza kuwadanganya tena marefa.....fck him
 
Back
Top Bottom