Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Refa bado hajaanza kubeba mizoga ya Munchen ..... .... .... ..... ... COYG Ox & Giroud wataweka magoli tu .... ....
 
HF...team iko vizuri, shida ni ndogo tu kwamba bado hatujijamini na hatukai na mpira, ule mpira wetu tuliozoea hatujaucheza bado, kama refa hatawabeba hawa mbwaku...basi tuna goli zaidi ya 3 leo...
Ngoja turudi mapumziko mtaona maajabu ya futbo.
 
HF...team iko vizuri, shida ni ndogo tu kwamba bado hatujijamini na hatukai na mpira, ule mpira wetu tuliozoea hatujaucheza bado, kama refa hatawabeba hawa mbwaku...basi tuna goli zaidi ya 3 leo...
Ngoja turudi mapumziko mtaona maajabu ya futbo.


Ivi jamani naota mie?!!
 
Wacha1 wewe! Upo! Pole

Si unaona unakodolea mpira wa timu zinazocheza ndinga la uhakika unafikiri hizi ni timu kama ka=timu kako kanakonunua matokeo? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ImageUploadedByJamiiForums1394570323.238027.jpg

.....#TogetherWeStand !
COYG!!!!


#MosKwito !
 
HF...team iko vizuri, shida ni ndogo tu kwamba bado hatujijamini na hatukai na mpira, ule mpira wetu tuliozoea hatujaucheza bado, kama refa hatawabeba hawa mbwaku...basi tuna goli zaidi ya 3 leo...
Ngoja turudi mapumziko mtaona maajabu ya futbo.

Mmmmmh!!!
 
Back
Top Bottom