Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
![]()
Prof ametua Bavaria na vijana kwa mtanange
wa kukata na shoka kesho ... .....
wanoko wanaweweseka Gunners wametulia .... ...
COYG
Yap ni two legs mkuu...itakuwa tamu sana.
![]()
Prof ametua Bavaria na vijana kwa mtanange
wa kukata na shoka kesho ... .....
wanoko wanaweweseka Gunners wametulia .... ...
COYG
i cant wait for today`s match,hahahah kama namuona ozil vile alivyoipania mechi ya leo kwa kukaba na kushambulia bila ya kuchoka.
Mathematically Arsenal are out...
Naona pro. wetu kanenepa jmn![]()
Prof ametua Bavaria na vijana kwa mtanange
wa kukata na shoka kesho ... .....
wanoko wanaweweseka Gunners wametulia .... ...
COYG
Technically??? Kweli unauliza...inamaana hujui?what about Technicaly.
Kila la heri gunnerz,fanyeni la maana sasa huko.YNWA
"Nlikuwepo":bolt: