Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Liwalo na liwe...hii timu (Arsenal) inatutesa sana mashabiki wake. Sijui tutafungwa mangapi,lakini ninachokijua ni kuwa leo ndiyo tunahaga rasmi mashindano haya kwa kutolewa na Bayern Munich. Hutaki Unaacha.
 
Hata kwa bahati mbaya leo arsenal hawezi kushinda natabiri atleast atafungwa 3.
 
wameitahidi lakini dakika ya 16 bado hawajafungwa. goal attempts ni 8-1.
 
hivi na leo gooners wako pungufu?mbona mpira hauvuki mstari wa kati?
 
Back
Top Bottom