Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
utashuhudia mwenyewe mwisho wa msimu....Mwaka huu hakuna kikombe mtakachobeba!
Niko hapa mtaniambia!
Hakuna cha EPL, UCL, FA.
utashuhudia mwenyewe mwisho wa msimu....Mwaka huu hakuna kikombe mtakachobeba!
Niko hapa mtaniambia!
Hakuna cha EPL, UCL, FA.
Nusu fainali ni Wigan Vs Arsenal
Come on City, hahahaha
Wewe ndugu yangu Ntuzu wakati mwingine nikisoma post zako huwa nina furahi na kucheka.Point 4 unafikiri mchezo? Hizo ndoto Mkuu! Ata Ndg yng Ng'wamapalala hawezi kuota namna Hiyo Zaidi atajivunia Kua na mashabiki wengi mpk china!
Wewe ndugu yangu Ntuzu wakati mwingine nikisoma post zako huwa nina furahi na kucheka.
Nikiangalia points, mechi ulizobaki nazo, kikosi cha wachezaji na timu ambazo utacheza nazo, ni kweli kuwa una uwezekano wa kuchukua ubingwa. Hata hivyo, katika mpira kila kitu kinawezekana. Hii ya kila kitu kinawezekana ndiyo hufanya mpira kuwa na wapenzi na mashabiki katika kila timu ya mpira.
Kabla ya mechi ya FA CUP kati ya wanunuzi wa vikombe (Man City) na Wigan, ninaamini kama ungeuliza watu, basi ungepata watu wachache sana wanaosema Wigan ingeshinda.
Ndugu yangu kila kitu kinawezekana nani vizuri zaidi tukasubiri angalau mechi za tano za mwisho.
Wigan Vs Arsenal nilivyopenda..... Dreams do really come true... Mwaka wetu huu lazima tuwagonge Wigan Semi final...
CC Belo and all big arsenal haters
Huezi kuchukua Ndoo la EPL bhana...na hilo liko wazi!! Viporo kibao tunakuja huko Juu.Kufurahi ndio vzr ndugu! Maana Km timu hazifanyi vzr na kwenye mijadala Km humu na kwenyewe tukose raha? Inakua noma Mkuu!
Mkuu wigo Wa point 4 Ni mkubwa sn na Wewe mwenyewe umekubali kutokana na kikosi changu na ratiba jinsi ilivyo Umeona kabisa Kua naweza Kua Bingwa! Na Mimi kutokana na huo mtazamo wako ndio ata Mimi nikiangalia napata nguvu ya kusema Kua Mimi Bingwa!
Kwakuwa Wigan kampiga City eeh?(May be correct). Unajua hili kombe la FA bhana lina maajbau sana. Hhuwa team kubwa nyingi zinapotea kabisa, ngoja tuone mwaka huu itakuaje. Kama unakumbuka vizuri Carling Cup la mwaka 2011Arssenal aliingia Fainali na Birmingham City, tukafungwa 2-1 goli la dk za mwisho beki wetu alijichanganya na kipa Martins akatuua, nakumbuka Wilshere alilia sana after a match.haya aresenal kombe lenu hilo fa,ongezeni juhudi mchukue!!!! timu ngumu mliobaki nayo moja tu hapo(wigan) mkilikosa na hili msimtafute mchawi
Kwakuwa Wigan kampiga City eeh?(May be correct). Unajua hili kombe la FA bhana lina maajbau sana. Hhuwa team kubwa nyingi zinapotea kabisa, ngoja tuone mwaka huu itakuaje. Kama unakumbuka vizuri Carling Cup la mwaka 2011Arssenal aliingia Fainali na Birmingham City, tukafungwa 2-1 goli la dk za mwisho beki wetu alijichanganya na kipa Martins akatuua, nakumbuka Wilshere alilia sana after a match.
Anyway mi niseme tu kwa kombe hili la FA mwaka huu Arsenal ana uwanja mpana sana wa kubeba ndoo...so Wenger deserve to win. Asipoweza kuchukua hili NDOO mi naomba nipumzike kwa muda na Wenger aachaie ngazi. We are fed-up of HIM.
Huezi kuchukua Ndoo la EPL bhana...na hilo liko wazi!! Viporo kibao tunakuja huko Juu.
COYG
hahahah kweli mkuu msipokuwa makini wigan anaweza kuwastaajabisha hata nyie kama sijakosea nahisi mechi ya nusu fainali huwa zinachezwa home na away si ndio???
Duh ntaila tu fedha akoTuweke fwedha!
hahahah kweli mkuu msipokuwa makini wigan anaweza kuwastaajabisha hata nyie kama sijakosea nahisi mechi ya nusu fainali huwa zinachezwa home na away si ndio???
Yap ni two legs mkuu...itakuwa tamu sana.
oohh kumbe ahsante kwa kunikumbusha bai nilichangayana na carling,anyway bado hiyo mechi ngumu kwa arsenal hasa ukiiangalia wigana im sure watakuwa wamepata morali baada ya kuifunga city ingwaje arsenal anaognoza katika kura za kushinda nampa 60 kwa 40.semi-final ya FA ni mechi moja inachezwa WEMBLEY.
You said the same against Birmingham City. We all know what happened. The Specialists, hahahaha.