Sio macho yako ni tv yako ina chenga sana. Kamgusa na ile inaitwa reckless play. Lazima upigwe red lile goti lingemkuta roben tumboni.
Kushoto mshabiki wa Man u
Kulia mshabiki wa Liverpool,presha inapanda,presha inashuka
Howard Webb
Kushoto mshabiki wa Man u
Kulia mshabiki wa Liverpool,presha inapanda,presha inashuka
Tutajipanga tu mkuu...ingawa 10 men No wonder alwaysikiwa maneno yangu yako sahihi...upande wa kushoto ndipo goli litakapotokea...kwani kwa sasa Arjen na Larm wote wamepata fursa ya kupanda...watakavyo Nacho hana speed kihivyo hii ndio hatari yenyewe
Arsenal leo ushindi wetu ila utachelewa kidogo
kujifariji ni ruksa pia
Watu tunasubiri 90 zifike
sawa mkuu ila pole kwa presha