Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ikiwa maneno yangu yako sahihi...upande wa kushoto ndipo goli litakapotokea...kwani kwa sasa Arjen na Larm wote wamepata fursa ya kupanda...watakavyo Nacho hana speed kihivyo hii ndio hatari yenyewe
 
ikiwa maneno yangu yako sahihi...upande wa kushoto ndipo goli litakapotokea...kwani kwa sasa Arjen na Larm wote wamepata fursa ya kupanda...watakavyo Nacho hana speed kihivyo hii ndio hatari yenyewe
Tutajipanga tu mkuu...ingawa 10 men No wonder always
 
kiuhalisia...tumebakiza Substitution moja tu....nayo aingie Thomas Rosicky...na inalazimika tema iwe behind the ball...kwa nguvu zote...wakae deep ili kuwa frustrate bayern munchen...
 
Back
Top Bottom