siku nyingi siandiki kwenye huu uzi kwasababu ninajuwa wapi tunaposhikwa lakini wengi wetu hatukubali, ukiangalia gemu ya leo na Manchester city zinalingana kwani tulishikwa kati na leo ndio tumedhihirisha kuwa kati panahitajika mtu, Arsene kumsajili yule Mswedesh hakufanya kosa kwani pale ndipo kwenye ubovu