Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Wilshere asipoangalia atakula red
 
.....liverpool nao eti wanapaki basi....
Hehhehh

COYG!!!
 
siku nyingi siandiki kwenye huu uzi kwasababu ninajuwa wapi tunaposhikwa lakini wengi wetu hatukubali, ukiangalia gemu ya leo na Manchester city zinalingana kwani tulishikwa kati na leo ndio tumedhihirisha kuwa kati panahitajika mtu, Arsene kumsajili yule Mswedesh hakufanya kosa kwani pale ndipo kwenye ubovu
......dahhhh?!

Kabla game haijaanza pia ulikuwa na mawazo hayo hayo?
 

Hapo tupo pamoja, ila mswidi mgonjwa, na Flamini kafungiwa...
Kuna Option nyingine? Kwa formation gani?
 
Kwa Arsenal kushaeleweka..ngoja niwasubirie Chelsea...
 
Hawa Liverpool wana adabu ndogo yaani wanaweza fungwa na QPR but omba wasikutane na "timu kubwa". Mijamaa inacheza as if ikitufunga itapata points TANO. Kweli nimeamini these guys will never walk alone!
 
Hapo tupo pamoja, ila mswidi mgonjwa, na Flamini kafungiwa...
Kuna Option nyingine? Kwa formation gani?

How unasajili mgonjwa aje kumsaidia mgonjwa mwenzake,naskia Ramsey atarudi mapema kabla Kim K hajapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…