Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Maneno haya ndio yampayo jeuri huyu mzee, sio siri bila striker wa maana hakuna uwezekano wa bingwa na mwaka huu pia.
.....gutted kama wewe, ila kwa mfumo wa team na 'nidhamu' kambini, targets za Arsene zilikuwa ni Kalou na Klose bhaaassss....
Deal/bid zote zime fail, sasa wewe ulitaka iweje nayeye ndiye anayewa manage hawa wachezaji?
Honestly speaking, ulitegemea Arsenal na hii 'flimsy' squad kuwaburuza hawa #Mburukenge tangu msimu uanze?
Au wadhani ni 'ngekewa?' tu?
......Dexter is only 20yrs old, na kila January tunatafuta "Experienced" player wa kusaidia Squad kumalizia league....
Kumbuka #Monreal , #Benayoum , #Sylvestre , #Squillaci ,.....na legendary T14 va-va voom!
Kim ni Experienced Covering player.
Midfield ya Arsenal ndio wafungaji, stay tuned bro.
We'd RVP, lakini hatukuchukua ubingwa sometime tukubali kwamba ushindi wa team unatokana na wachezaji 11 uwanjani,..... (Sio striker pekee!)
Juzi Pensioners Vs Hammers stats zinaonyesha walipata nafasi zaidi ya 139 .... Yes Mia moja Thelathini na tisa hapo wana E'too, Oscar, et al... Lakini hawakuona wavu!
Rooney na RVP ni world top strikers, lakini mwenyewe unaona walipoiweka team yao mpaka sasa...
Sorry kwa maelezo mareeeefu, Keep the faith Gunners!