Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,784
- 3,205
Breaknewz Vunic atua asernal kwa mkopo
souce:asernal.com
souce:asernal.com
Breaknewz Vunic atua asernal kwa mkopo
souce:asernal.com
Breaknewz Vunic atua asernal kwa mkopo
souce:asernal.com
So now u know??
nukuu:http://www.bbc.com/sport/live/football/25645614
- 09:34Ramsey out for 4-6 weeks
![]()
Arsenal manager Arsene Wenger is currently doing a news conference, where he has confirmed that midfielder Aaron Ramsey has been ruled out for six weeks. As a result, the Gunners boss says he would like to bring in one player during the course of the day - but it won't be Julian Draxler. The Frenchman added that he would like to "scrap" the winter transfer window because 80% of activity tends to happen on the final day.
kwa anayejuwa anijuulishe
Kwanini media zote zinafuatilia sana usajili wa Arsenal kuliko timu nyengine?
Bila shaka watakua Ozil na Carzola wa Manzese kama ni wale wa Arsenal inaeleweka hawana uweze wa kudefend kama unavyosema otherwise TV unayoangalia inakudanganya
Wakuu Good evening,
Naona mambo ni mazito na AFC inajaribu kila namna kufanya angalau usajili wa wachezaji watatu.
Jioni hii Lazio ya Italy wamekataa dau la Arsenal kumsajili Miroslav Klose kwa mkopo.
Pia Lille ya France nao wamekataa dau la Arsenal la kusajili Salomon Kalou.
Ila mpaka sasa tumempata Kim Kallstrom.
![]()
Nipo hapa na nimerejea na tusubiri katika masaa karibia manne yajayo.
Wasiwasi wangu huyu jamaa hatocheza hata game 5. Wamemsajili kunyamazisha ma-supporter. Hata saga la Draxler na vucinic lilikuwa la kuwapa supporters hopes za kuleta watu wakati management ilikuwa haina mpango wa kutumia pesa ikizingatiwa pesa iliyotumika kumleta Ozil ilikuwa ya kufa mtu.
Jamaa aliesajiliwa ni jembe la uhakika na anaziba nafasi ya Ramsey ambae ni majeruhi, Thomas Rosicky na kumsaidia Mikael Arteta ambae sasa anaonyesha kuchoka na pia Mathieu Flamini ambae atakosa mechi tatu kutokana na kadi nyekundu alopewa kwenye mechi na Southampton.
Pia anasaidia kuleta uzoefu na ataweza kucheza ligi la mabingwa Ulaya na kutusaidia sana wakati huu wa ligi amao ni mgumu sana.
![]()
Kallstrom akiwa amekwishapiga jezi ya Arsenal jioni hii baada ya kupasi "medical".
Wenger mwenyewe amesema kwamba hawezi kulipa milioni 37 kwa Draxler, mchezaji ambae bado hajathibitisha uwezo wake na labda ni wakati wa majira ya joto.
Mkuu uwe unafuatilia habari hapa usiongee kama umejiunga na Arsenal leo hii.
teh teh teh