Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal kumaliza top four ni sawa na kuchukua ubingwa,sio bad season

Muda si mrefu Man UTD kumaliza top 5 or 6 itakuwa normal, maana ndo uwezo wa Moyes over the years. In Moyes We Trust
 
Nacho Monremal anaanza kuzoea game moja baada ya ingine. Kwenye mechi na Southampton alikuwa anafanya makosa mengi mno.

Dakika ya 28
 
Alex Oxlade Chamberlain amecheza vizuri hadi sasa anamudu vema nafasi yake ya kiungo.
 
Meneja wa Crystal Palace bwana Pulis ni mjuzi wa mipira mirefu lakini naona kwenye timu hii anasisitiza kutuliza mipira chini na sio kama kule Stoke timu aliowahi kuiongoza.
 
Giroud anakwatuliwa nje kidogo ya eneo la hatari na Ozil napiga adhabu
 
Kipa wa Crystal Palace anapangua na kuwa kona. Ni mpira mzuri wa adhabu ulipigwa na Ozil na ukawa unaelekea wavuni lakini kipa Speroni akapangua.
 
Sasa Crystal Palace nao wanapata kona ya kwanza. na inaokolewa na Arsenal.

Dakika inakwenda ya 39 na goli ni 0-0
 
Ni Half Time

Goli ni Arsenal 0 Crystal Palace 0

Arsenal wameshindwa kuifungua ngome ya timu hii.
 
Arsenal need to inject a quickness in their play in the second half. We need to win this game before City and Chelsea play tomorrow. We can't afford to drop another points before we meet Liverpool and Man utd
 
Play Podolski in the Middle, Wenger needs to take Giroud out for Gnabry.
 
First Half Analysis

Arsenal itabidi wakiingia pindi cha pili washambulie zaidi kwa kutumia nafasi za pembeni na pia Oxlade Chamberlain acheze kwenye moja ya nafasi za pembeni na nafikiri aende upande wa kulia.
 
Kipindi cha lala salama, asenali vs palace ndani ya nyumba, ila asenali wakitoa sare au wakilaliwa basi tutaishi kwa amani mtaani bila kelele
 
Chamberlaiiiiiiiiiin

Arsenal 1-0 Up

Dakika ya 47 kipindi cha pili Santiago Cazorla anapenyeza pasi ndefu ambayo inamfikia Alex Oxlade Chamberlain ambae anaimudu na kupaisha mpira juu ya kipa Speroni na kuukwamisha mpira wavuni.
 
Back
Top Bottom