Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Noma sana. Angetusaidia katikati maana hatuna Jack, Flamini na Rosicky sijui pua yake kama imeshapona. Anyway, tutawagonga magozigozi wk end. Naomba Spurs na West ham wafanye miujiza ya kumbadilisha panya tembo kesho.

dua za kuku hizo kamwe sikuzote hazimpati mwewe........
 
Noma sana. Angetusaidia katikati maana hatuna Jack, Flamini na Rosicky sijui pua yake kama imeshapona. Anyway, tutawagonga magozigozi wk end. Naomba Spurs na West ham wafanye miujiza ya kumbadilisha panya tembo kesho.

Naona Mabingwa sasa hivi mnaanza kupumulia mechi za wenzenu!😕
Mwanzo mkajitia mnachukua ubingwa kumbe hamna kitu.
Na man city leo anakuja juu pale.

"Nlikiwepo":bolt:
 
Hii game imetuwia ngumu sana. Hatukustahili kushinda kabisa....tumezidiwa kwenye kila idara. Am happy atleast tumetoka na point 1.

kukosekana kwa ramsey,wilshare na rozisky kumecost kimtindo,kiungo kilikufa na jamaa walitawala dimba...Monreal nae sio wa kumuamini anaicost sana timu tofauti na gibbs!Wenger kasema lazima atanunua kabla ya pazia kufungwa,
mimi nafikiri tunahitaji mshambuliaji kamili pamoja na huyo draxler anayeongelewa,ningependa kama watamchukua draxler basi wamchukue na vucinic au morata kwa mkopo
 
Thanks Gunners.

Hatukuwa na jinsi, point moja ni bora kuliko kuchoma mafuta mpaka Southampton na kurudi London na yellow or red card kama ilivyotokea kwa Flamini.

Timu yetu inapokosa viungo ambao ni wazuri katika diffensive and offensive game kama Ramsey, Wilshere and Rosicky huwa tunapwaya sana hasa kama timu pinzani watakuwa ni wazuri katika ball possession.

Huduma kwa Giroud zilikuwa zimekatika kwa sababu Arteta na Flamini hawawezi kucheza pamoja kwa vile football mentality yao ni moja ambayo ni defensive game wakati huo huo Ozil na Kazorla ni wazuri tu offensive game.

Tumeingia kipindi kigumu sana ambacho kinahitaji wachezaji wote wawe salama na hasa kulingana na idadi ya wachezaji tulionao.

I'm happy to take a point back to London.

Once a Gunner, Always a Gunner.

Duh!!!!! kumbe Ozil na Carzola ni wazuri kwenye offensive didn't know that before.
 
Hii game imetuwia ngumu sana. Hatukustahili kushinda kabisa....tumezidiwa kwenye kila idara. Am happy atleast tumetoka na point 1.

yap game ilikuwa ngum saana jamaa walimiliki mpira kwa kiasi kikubwa.
 
Tusikate tamaa bado nafasi tunayo, japo mimi huyu Giroud bado simuamini sana pale mbele.
 
mzee aache ubishi atumie,cash hiyo kushusha striker wa ukweli
 
One positive thing from the midweek games Chelsea lost points too. City are just one point ahead of us and they got Chelsea on Monday. However I think City will run with it from this point on. I hate to see this happening though. COYG!!!!
 
Mbu atasingizia alikuwa anapiga box,leo golikipa wenu alikuwa Man of the match

....... IMG_2656.jpg

Tatizo sisi wengine hatuwezi kuangalia na kuandika BUT pamoja na kumiliki mpira Southampton wamechomoa wao Goal

.....ahhh, unajisumbua buree kumjibu huyu mtani Belo,
mwenzie Nzi #keshajizoelea sasa.
 
Last edited by a moderator:
yap game ilikuwa ngum saana jamaa walimiliki mpira kwa kiasi kikubwa.

Tatizo ni Ozila ambae anaogopa kuumia kabla ya World Cup. Amekuwa mzito kusababisha magoli inagawa alikuwa afunge goli la tatu na mpira ukagonga besela.

Pia rafu aliocheza Flamini haikuwa ya lazima bali ni kuzidisha matatizo tu kwa Arsenal maana Flamini atakosa mechi tatu, Rosicky anaumwa pua, na Walcott nae ndio hayupo kabisa, Ramsey jana akawa bado ahawezi kukimbia kutokana na msuli kuuma.

Arsenal itakuwa ok tu suala ni kuifunga Crystal Palace nyumbani siku ya Jumapili na kusubiri jumatatu Man City na Chelsea maana wao pia wanaweza kutuamulia ni nani ataenda kuwa bingwa.

Arsenal itatangaza usajili wa wachezaji wawili au pengine watatu ifikapo Ijumaa jioni.

Mmoja wao anaweza kuwa Draxler au hata Morata ingawa kuna majina mengine yameibuka jana baada ya kuwapoteza Flamini na Ramsey.

Stay tuned.
 
One positive thing from the midweek games Chelsea lost points too. City are just one point ahead of us and they got Chelsea on Monday. However I think City will run with it from this point on. I hate to see this happening though. COYG!!!!

Ama kwa hakika mechi ya jana imewafanya Arsenal wafanye "reality check" kuhusu uwezo wa wachezaji waliopo. Arteta anaonekana kuchoka na Ozil nae anakuwa kama anatumia sana "handbreak".

City nao watakwaa kisiki sehemu moja hivi na kwenye mechi na Tottenham walitawala sana katikati huku David Silva akihaha uwanja mzima na Yaya Toure akisaidia. Ukiwapa nafasi hawa jamaa wawili basi ujue kuna mvua ya magoli.

Kama wote Arsenal na Man City walishinda mechi zijazo na kukutana itakuwa ni mechi ya kukata na shoka na atakaeshinda hiyo basi yeye ni bingwa.
 
Tatizo ni Ozila ambae anaogopa kuumia kabla ya World Cup. Amekuwa mzito kusababisha magoli inagawa alikuwa afunge goli la tatu na mpira ukagonga besela.

Pia rafu aliocheza Flamini haikuwa ya lazima bali ni kuzidisha matatizo tu kwa Arsenal maana Flamini atakosa mechi tatu, Rosicky anaumwa pua, na Walcott nae ndio hayupo kabisa, Ramsey jana akawa bado ahawezi kukimbia kutokana na msuli kuuma.

Arsenal itakuwa ok tu suala ni kuifunga Crystal Palace nyumbani siku ya Jumapili na kusubiri jumatatu Man City na Chelsea maana wao pia wanaweza kutuamulia ni nani ataenda kuwa bingwa.

Arsenal itatangaza usajili wa wachezaji wawili au pengine watatu ifikapo Ijumaa jioni.

Mmoja wao anaweza kuwa Draxler au hata Morata ingawa kuna majina mengine yameibuka jana baada ya kuwapoteza Flamini na Ramsey.

Stay tuned.

Good news ni kwamba Prof kaahidi kuwa lazima atasajili kabla dirisha halijafungwa hiyo kesho saa 6 usiku, na acording to skysports ni kuwa kuna maofisa wa Arsenal wapo ujerumani kwa ajili ya kubargain dili ya Julia Draxler na Jung beki wa kulia kutoka Humburg so kama hizi kama hizi taarifa ni za uhakika basi hii itakuwa ni neema kwa Gunners.
Though ni ukweli kuwa Wenger hupenda kufanya mambo yake kimya kimya (hapendi kuweka wazi) hasa katika mambo ya usajili but Tusubirie tuone anything can happen.
..COYG..
 
Back
Top Bottom