Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
sipendi kuweka dosari lakini kwa mchezo wa ref wanaochezesha gemu za Arsenal itachukuwa muda mrefu kwa Arsenal kuchukuwa ubingwa
Usitafute kisingizio cheza mpira ushinde,kwa hiyo hamjachukua ubingwa miaka 8 kwa sababu ya marefa?