Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haters bhana!! Gunners kupangwa The Bavarian wanasema ndio mwisho wa Arsenal mpira hauchezwi mdomoni Jaman mpira unachezwa katika pitch na hapo ndipo mshindi anapatikana, mshindi hapatikani midomoni.

kabla game haijachezwa kuna prediction....na ndio maana kuna betting business.....na on paper arsenal anatolewa ingawa kwenye mpira chochote kinaweza kutokea[arsenal pia anaweza kushinda]....lakini prediction na betting zote so far zina favor bayern munich......
 
Belo bana...

Hivi Man Utd akipigwa mechi inayofuata anarudi nafasi ya ngapi?

Bala,
Nyie ndio mabingwa msimu huu,sisi tunataka angalau top four.Vijana wanazidi kukukimbia na Wacha1 nae ameamua kukukimbia mwaka huu,
 
Last edited by a moderator:
Haters bhana!! Gunners kupangwa The Bavarian wanasema ndio mwisho wa Arsenal mpira hauchezwi mdomoni Jaman mpira unachezwa katika pitch na hapo ndipo mshindi anapatikana, mshindi hapatikani midomoni.
Mboni tiliwapiga msimu uliopita hapo kwao ati????
 
Bala,
Nyie ndio mabingwa msimu huu,sisi tunataka angalau top four.Vijana wanazidi kukukimbia na Wacha1 nae ameamua kukukimbia mwaka huu,

Umeulizwa na Man U wakifungwa mechi ijayo wanarudi nafasi ya ngapi? Mbona unaanza kujitetea badala ya kujibu swali.
 
Last edited by a moderator:
arsenal akimtoa BAYERN MUNICH naomba nipigwe BAN 6 MONTHS......

Itakuwa haina haja ya kwenda uwanjani kama anayefuzu tayari anajulikana.
BTW inashangaza wakati The Bavarian wenyewe wanaumiza kichwa huku wakitambua kuwa game lao na Arsenal ni Utata, wewe Cleverly wa bongo unapiga kelele kuwa ni lazima The Bavarian watafuzu.
Any way lets wait for February and March 2014.
 
Umeulizwa na Man U wakifungwa mechi ijayo wanarudi nafasi ya ngapi? Mbona unaanza kujitetea badala ya kujibu swali.

Tatizo la mashabiki WA Man hawajadili tena timu yao...wamebaki Arsenal haichukui ubingwa....
 
Tatizo la mashabiki WA Man hawajadili tena timu yao...wamebaki Arsenal haichukui ubingwa....

Na hii inatokana na ukweli kuwa hawa jamaa Hawajielewi yaan wao na Moyes wao HAWAJIELEWI kabisa ndio maana kila siku wanaweweseka.
 
Na hii inatokana na ukweli kuwa hawa jamaa Hawajielewi yaan wao na Moyes wao HAWAJIELEWI kabisa ndio maana kila siku wanaweweseka.

kama washabiki wa mpira tuna haki ya kujadili kila timu....wikiendi iliopita stori kubwa ni kipigo chenu cha 6-3 ndio maana tuko hapa....jana stori kubwa ni arsenal vs bayern draw ndio maana tuko hapa....olympiakos vs man utd sio stori wala game haitakuwa na msisimko kama arsenal vs bayern....kwahio msitushangae kukaa hapa,tutarudi kule siku ingine....btw monday naamini chelsea hawawezi kuwasumbua ila ningependa chelsea washinde but i cant see that happen
 
kama washabiki wa mpira tuna haki ya kujadili kila timu....wikiendi iliopita stori kubwa ni kipigo chenu cha 6-3 ndio maana tuko hapa....jana stori kubwa ni arsenal vs bayern draw ndio maana tuko hapa....olympiakos vs man utd sio stori wala game haitakuwa na msisimko kama arsenal vs bayern....kwahio msitushangae kukaa hapa,tutarudi kule siku ingine....btw monday naamini chelsea hawawezi kuwasumbua ila ningependa chelsea washinde but i cant see that happen

#TCleverly story kubwa ni kuwa mpo nafasi ya 9 mpaka sasa kuelekea msimu WA sikukuu..
#Story kubwa NI kuwa mshapoteza michezo 5 so far...
#Story kubwa Ni kuwa Mna average Manager ndani ya club yenu...
#BTW ; Kati yenu na Tottenham nani walistahili kufukuza Kocha??
 
Sawa Sheikh Yahaya Jr but tambua kuwa hata sheikh Yahaya senior aliwatabiria wenzake vifo lakini kifo chake alishindwa.


Mkuu Mimi Naelewa wazi Chelsea robo fainali nimefika sasa kazi ipo kwako wewe jirani Yangu timu ya watoto!
 
Back
Top Bottom