Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Roben, Ribery,
Gotze, Sebastian, Gustavo,
Alaba, Dante, Boateng, Lahm
Nouyer

Kule mbele Kwa wafungaji utamalizia Na wewe!

Hatari jirani zng!

Who can stop themmmmmmm?
 
It adds to an already challenging fixture list which now looks like this:
[h=2]February[/h]Crystal Palace (H)
Liverpool (A)
Man Utd (H)
Possible FA Cup fixture
Bayern Munich (H)
Sunderland (H)

[h=2]March[/h]Stoke (A)
Possible FA Cup quarter-final
Swansea (H)
Bayern Munich (A)
Sp*rs (A)
Chelsea (A)
Man City (H)
 
1521900_730953060256892_1526409108_n.jpg
 
Utakuwa ushoga wa hali ua juu kutolewa na Bayern kwa mwaka huu tena, Babu lazima asajili mtu kama Diego Costa au Suarez ili amsaidiie Giroud in strikingforce otherwise tutatoka kwa uraisi sana

Striker wote wazuri wamekwisha cheza uefa wenger kasha chelewa asajili wamsaidie epl
 
somewhere at twitter Champions League ‏@ChampionsLeague 2m Philipp Lahm and @JB17Official were in agreement that Arsenal are "the toughest team we could have drawn"

Tatizo Tanzania mashabiki ndio wanaotoa mawazo yao kuliko wanaocheza sasa tayari wanasema tumeshatoka UEFA huku Bayern wachezaji na Wajerumani waliocheza zamani wanakuambia Arsenal ni timu ngumu kwao inatakiwa wacheze kwa makini ila sisi huku tayari wameshatutoa haya kama Barca alifungwa 7 ns bado wanamuona atapita iweje timu iliyotoka sare ya 3 - 3 wanaona imeshatolewa ?
 
Haters bhana!! Gunners kupangwa The Bavarian wanasema ndio mwisho wa Arsenal mpira hauchezwi mdomoni Jaman mpira unachezwa katika pitch na hapo ndipo mshindi anapatikana, mshindi hapatikani midomoni.
 
Haters bhana!! Gunners kupangwa The Bavarian wanasema ndio mwisho wa Arsenal mpira hauchezwi mdomoni Jaman mpira unachezwa katika pitch na hapo ndipo mshindi anapatikana, mshindi hapatikani midomoni.

Achana na Bayern game ni February,fikiria Dec 23 ukipigwa na Chelsea huenda ukarudi namba 4
 
Back
Top Bottom