Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

article-2526311-1A3348A900000578-32_964x627.jpg



Cash Cole kaja kunyatia kwao njaa kali ... ...
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ni sawa na mburukenge tu ambao hawakai kwao ... ... ... ...
 
article-2526311-1A33494800000578-642_470x575.jpg




article-2526311-1A32EDEF00000578-653_470x575.jpg



Double trouble: Theo Walcott (top) and Kieran Gibbs (bottom)
both went as bananas in pyjamas - the latter leaving the venue
holding hands with two women


article-2526311-1A33499100000578-345_964x616.jpg

On his way home: Kieran Gibbs (banana in pyjamas) gets into a taxi after leaving the nightclub










article-2526311-1A33481E00000578-657_964x779.jpg

Cop out, Santi! Midfielder Santi Cazorla was dressed as Mario
but changed out of his outfit


article-2526311-1A3349D500000578-717_310x440.jpg

Per Mertesacker


article-2526311-1A33455800000578-567_310x440.jpg

Emiliano Viviano


article-2526311-1A33454C00000578-91_310x440.jpg

Carl Jenkinson



article-2526311-01E6266000000514-900_964x596.jpg


Work wear: Lukas Podolski (left) celebrates scoring Arsenal's second Champions League goal against Olympiacos in October with team-mate Santi Cazorla



Come on You Gunners .... ... ...





 
Mkuu Wacha1 mambo vipi?

Ashley Cole ni chimbuko la shule ya Arsenal yaani Arsenal Academy, kwahio ana Arsenal DNA kwa 100% lol. Tatizo la Ashley ni fedha tu na totoz.

Siku ya jumatatu ndio itaamua nani anakuwa juu ya msimamo wa ligi kwa raha zake.

Arsenal wanatambua kwamba wakipoteza mchezo wake na Chelsea mpaka kufikia jumanne asubuhi Arsenal watakuwa wakishikilia nafasi ya nne.

Kwani Man City wanaweza kuifunga Fulham na Liverpool wanaweza pia kushinda kwao Anfield dhidi ya Cardiff City.

Hivyo Arsenal hawachukulii mechi ya jumatatu kirahisi hivyo na pia Arsenal hawajawahi kushindwa mechi tatu mfululizo labda sijui iweje.

Mimi naamini tutaifunga Chelsea angalau 1-0 na baadae tunaweza kusumbuliwa kidogo na West Ham kule uwanjani kwao Upton Park.

Tusubiri jumatatu.

COYG!
 
Mkuu Wacha1 mambo vipi?

Ashley Cole ni chimbuko la shule ya Arsenal yaani Arsenal Academy, kwahio ana Arsenal DNA kwa 100% lol. Tatizo la Ashley ni fedha tu na totoz.

Siku ya jumatatu ndio itaamua nani anakuwa juu ya msimamo wa ligi kwa raha zake.

Arsenal wanatambua kwamba wakipoteza mchezo wake na Chelsea mpaka kufikia jumanne asubuhi Arsenal watakuwa wakishikilia nafasi ya nne.

Kwani Man City wanaweza kuifunga Fulham na Liverpool wanaweza pia kushinda kwao Anfield dhidi ya Cardiff City.

Hivyo Arsenal hawachukulii mechi ya jumatatu kirahisi hivyo na pia Arsenal hawajawahi kushindwa mechi tatu mfululizo labda sijui iweje.

Mimi naamini tutaifunga Chelsea angalau 1-0 na baadae tunaweza kusumbuliwa kidogo na West Ham kule uwanjani kwao Upton Park.

Tusubiri jumatatu.

COYG!

Una uhakika Arsenal haijawahi kupoteza mechi 3 au zaidi mfululizo?
 
Mkuu Wacha1 mambo vipi?

Ashley Cole ni chimbuko la shule ya Arsenal yaani Arsenal Academy, kwahio ana Arsenal DNA kwa 100% lol. Tatizo la Ashley ni fedha tu na totoz.

Siku ya jumatatu ndio itaamua nani anakuwa juu ya msimamo wa ligi kwa raha zake.

Arsenal wanatambua kwamba wakipoteza mchezo wake na Chelsea mpaka kufikia jumanne asubuhi Arsenal watakuwa wakishikilia nafasi ya nne.

Kwani Man City wanaweza kuifunga Fulham na Liverpool wanaweza pia kushinda kwao Anfield dhidi ya Cardiff City.

Hivyo Arsenal hawachukulii mechi ya jumatatu kirahisi hivyo na pia Arsenal hawajawahi kushindwa mechi tatu mfululizo labda sijui iweje.

Mimi naamini tutaifunga Chelsea angalau 1-0 na baadae tunaweza kusumbuliwa kidogo na West Ham kule uwanjani kwao Upton Park.

Tusubiri jumatatu.

COYG!

premier league:monday jan 2/2012 fulham2-arsenal 1.....sunday jan 15/2012 swansea 3-arsenal 2....sunday jan22/2012 arsenal 1-man utd 2.....nafikiri hapa arsenal alipoteza game tatu mfululizo....
 
nadra sana gunnerz kupoteza game 3 mfululizo labda enzi za george graham

wala huna haja ya kurudi nyuma saaana.....

premier league:monday jan 2/2012 fulham2-arsenal 1.....sunday jan 15/2012 swansea 3-arsenal 2....sunday jan22/2012 arsenal 1-man utd 2.....nafikiri hapa arsenal alipoteza game tatu mfululizo....
 
Wakuu Mfarisayo na T Cleverly, heshima mbele.

Mimi namaanisha timu yetu ya Gunners katika msimu huu haijawahi kupoteza mechi tatu mfululizo na mpaka sasa tumepoteza mechi tano katika vipindi tofauti ukiondoa matokeo ya Aston Villa, Man Utd, Man City (PL), Chelsea (Carling Cup),na Napoli (CL).

Lakini pia inaonyesha jinsi ninyi wawili pamoja na haters wengine mnavyokosa usingizi na upepo wa Gunners, the only club nchini UK yenye uwanja wake wenyewe unayoingiza pesa yake yenyewe na inaitumia pesa hiyo "self generated revenues" kujiendesha- yaani "operating costs", mfano ni Mesut Ozil ambae amegharimu milioni 42 na pesa hii haikuwa mkopo bali ni hundi tu iliandikwa na kusainiwa.

Na labda niwakumbushe tu kwamba Man Utd bado wanadaiwa na Arsenal sehemu ya milioni 24 walizomnunulia Robin Van Persie na hii ni lazima uwe mwanachama wa AST ndio uweze kufahamu.

Wengi hawataki kuamini, lakini ni Wenger alieweza na hapo ndipo chuki ilipo kwani tatizo kubwa ni kwamba Arsene Wenger ni Mfaransa alieleta mabadiliko kwenye mtindo wa uchezaji mpira nchini Uingereza.

Mimi nikiwa gunner naamini wachezaji wa Arsenal mpaka wanacheza na Man City walikuwa wapo hoi (hiyo inaitwa (fatigue)na kila mmoja hasa Jack Wilshere hakuwa at their best. Na hiyo ni kutokanana kucheza mechi tatu mfululizo tokea ile ya Everton, halafu Napoli na hii ya Man City.

Lakini sasa hawatakuwa na sababu ya kushindwa mechi ya jumatatu na Arsene Wenger atachagua first 11 yake kamili ambayo ndioya ushindi. Jack Wilshere anapumzika kutokana na adhabu na kwenye ulinzi Thomas Vermaelen atacheza badala ya Laurent Koscielny.

Nafahamu kwamba Chelsea hawana matatizo mengi kwani Michael Essien ndie anaekosekana kwa kuwa na kadi njano tatu.

Hivyo naamini mechi ya jumatatu ndio ya msingi zaidi na tunawaaminia wachezaji wetu na hadi kufikia Ijumaa asubuhi tunaweza kuwa tunaongoza ligi hii ngumu.
 
Wakuu Mfarisayo na T Cleverly, heshima mbele.

Mimi namaanisha timu yetu ya Gunners katika msimu huu haijawahi kupoteza mechi tatu mfululizo na mpaka sasa tumepoteza mechi tano katika vipindi tofauti ukiondoa matokeo ya Aston Villa, Man Utd, Man City (PL), Chelsea (Carling Cup),na Napoli (CL).

Lakini pia inaonyesha jinsi ninyi wawili pamoja na haters wengine mnavyokosa usingizi na upepo wa Gunners, the only club nchini UK yenye uwanja wake wenyewe unayoingiza pesa yake yenyewe na inaitumia pesa hiyo "self generated revenues" kujiendesha- yaani "operating costs", mfano ni Mesut Ozil ambae amegharimu milioni 42 na pesa hii haikuwa mkopo bali ni hundi tu iliandikwa na kusainiwa.

Na labda niwakumbushe tu kwamba Man Utd bado wanadaiwa na Arsenal sehemu ya milioni 24 walizomnunulia Robin Van Persie na hii ni lazima uwe mwanachama wa AST ndio uweze kufahamu.

Wengi hawataki kuamini, lakini ni Wenger alieweza na hapo ndipo chuki ilipo kwani tatizo kubwa ni kwamba Arsene Wenger ni Mfaransa alieleta mabadiliko kwenye mtindo wa uchezaji mpira nchini Uingereza.

Mimi nikiwa gunner naamini wachezaji wa Arsenal mpaka wanacheza na Man City walikuwa wapo hoi (hiyo inaitwa (fatigue)na kila mmoja hasa Jack Wilshere hakuwa at their best. Na hiyo ni kutokanana kucheza mechi tatu mfululizo tokea ile ya Everton, halafu Napoli na hii ya Man City.

Lakini sasa hawatakuwa na sababu ya kushindwa mechi ya jumatatu na Arsene Wenger atachagua first 11 yake kamili ambayo ndioya ushindi. Jack Wilshere anapumzika kutokana na adhabu na kwenye ulinzi Thomas Vermaelen atacheza badala ya Laurent Koscielny.

Nafahamu kwamba Chelsea hawana matatizo mengi kwani Michael Essien ndie anaekosekana kwa kuwa na kadi njano tatu.

Hivyo naamini mechi ya jumatatu ndio ya msingi zaidi na tunawaaminia wachezaji wetu na hadi kufikia Ijumaa asubuhi tunaweza kuwa tunaongoza ligi hii ngumu.

u can not be serious......hata reading fc,wigan,sheffield united,derby county,leicester city wana viwanja vyao wenyewe....
kwahio ni wao pekee walicheza mechi tatu mfululizo sio???man city hawakucheza mechi tatu??man utd hawakucheza mechi tatu??chelsea hawakucheza mechi tatu???

 
article-2527006-1A15161100000578-152_634x422.jpg


Good to be back: Lukas Podolski is set to return
from a four-month hamstring layoff





article-2527006-1A01613800000578-944_634x386.jpg


Praise: Arsene Wenger says Podolski scores big goals in the big games



Podolski anarudi wakati muhimu kuwatungua wauza unga safi sana ..... .... .
 
mfarisayo

Ati na huyu ni great tinker chacha habari za
Sure boy zinahusiana vipi na Gunners? Hebu nenda kamsaidie Moye No msishuke daraja ..... .... .. khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Why always me???

Pumba? What Professor achieved is more than what
Mashity has done I do not know in how many years. BTW you aren't even Manshity supporter but a bloody thirst glory hunter. Phew! Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Pumba? What Professor achieved is more than what
Mashity has done I do not know in how many years. BTW you aren’t even Manshity supporter but a bloody thirst glory hunter. Phew! Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Hahahaha mtakoma mwaka huu
 
mfarisayo

Ati na huyu ni great tinker chacha habari za
Sure boy zinahusiana vipi na Gunners? Hebu nenda kamsaidie Moye No msishuke daraja ..... .... .. khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chi mlikua mnachema mtamuongeza January?
 
Back
Top Bottom