Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Whatever you ploud urself but kipigo cha 8-0 kimekumbushwa na 1-0 hamuwezi kwa man U old trafod mna miaka 11 sasa hamjascore. Labda muwatambishie vilaza wenzenu Chelsea na wengine msimu uliopita tulishindania uliofuata tukatwaa nyie mnaongoza ligi keleleee! Tulieni ligi bado mbichi. Mara ooh Ozil hakuwa fiti mnategemea mchezaji mmoja? Acheni ushabiki usio na macho. Huwa nawasifu kwa roho ngumu lakini mwaka huu mnajiandalia saratani ya bure hicho mnachotumainia mkikosa mtajiuwa kama wakenya. Poleni mashabiki wa timu ya watoto wasiokuwa.
 
Wakuu wa Gunners ...... ..... mambo yapo shwari mwaka huu, sababu kubwa mashoga wamejazana humu Gunners mwaka huu wamepoteza mechi mbili tu na timu ipo imara sana, hakuna anayejadili vitimu vya uchochoroni bali waliopo kileleni kila wakichungulia wanaona tupo pale pale kazi kwao. Wanafahamu fika kipindi cha kukaa kimya kitakuwa kirefu hivyo sherehe zao zitaendelea kwa muda wakati wa hii International break.
 






Wenger-joy.jpg

Desire: Prof Arsene Wenger wants to win every game
 
article-2502699-195D76E500000578-516_634x480.jpg



Question time: Prof Arsene Wenger takes part in Twitter Q&A
 
article-2502699-195D76B200000578-533_634x619.jpg



Popular: Arsenal's Twitter feed has more than three million followers.




article-2502699-195D76F800000578-850_634x591.jpg




Tunasonga mbele hatuangalii yaliyopita ni historia
ambayo imetuwezesha kufika hapa.
 
wala hainishangazi kabisa kuna siri pale UK ambayo siku sio nyingi itajulikana
Dopping bado ipo UK na maujanja mengine kama hayo ndiyo yanayoifanya UK kushindwa kwenye michezo ya Taifa kwani FIFA wanapima zaidi
Manu nina wasiwasi kuwa wanatumia kama kuna mtu yuko UK basi jaribu kufuatilia utajuwa
Najuwa watu wengi watapinga lakini huo ndio ukweli
usiniulize nimepata wapi habari hii kama unataka kujuwa fuatilia huko FA
 
Duh! mfarisayo unaua kabisa...naona wenyewe wamekimbia kwao...

Wapi BAK Balantanda kashengo MwafrikaHalisi Shadow Nyaluhusa87 Piere. Fm Mutambuki Likwanda MpigaKelele Ng'wamapalala Ulimakafu godsonswai

Wote kimya....

Mm* wenu akiwa hapa, muwe na adabu.

Tumekubali mlishinda mechi,hilo hatujalikataa na Hongereni sana mmefika nafasi ya tano kwenye Premier League,ukweli ni kuwa mlicheza mechi kwa kutumia nguvu sana ushauri wangu muendelee kutumia nguvu kwenye mechi zijazo ili muendelee kushinda sio vita binafsi za wachezaji wenu dhidi ya Arsenal ndio wacheze kama fainali ya UEFA nyingine ziwe kawaida kumbukeni mechi ni 38 na hapa tulipo ni kama robo tu Jitahidini muingie nne bora maana League ya msimu huu si mchezo
 
Last edited by a moderator:
wala hainishangazi kabisa kuna siri pale UK ambayo siku sio nyingi itajulikana
Dopping bado ipo UK na maujanja mengine kama hayo ndiyo yanayoifanya UK kushindwa kwenye michezo ya Taifa kwani FIFA wanapima zaidi
Manu nina wasiwasi kuwa wanatumia kama kuna mtu yuko UK basi jaribu kufuatilia utajuwa
Najuwa watu wengi watapinga lakini huo ndio ukweli
usiniulize nimepata wapi habari hii kama unataka kujuwa fuatilia huko FA

Kipigo kimeshawachanganya mmeanza kulialia kama kawaida yenu,Mr Bean akiendelea kuwafundisha tutaendelea kuwafunza adabu kila msimu,Hawezi kucheza na Manchester,Jiulize kwa nini hakumpanga Ozil? now at least mmepungua kuna watu tangu mpate kipigo hawajaonekana.
 
wala hainishangazi kabisa kuna siri pale UK ambayo siku sio nyingi itajulikana
Dopping bado ipo UK na maujanja mengine kama hayo ndiyo yanayoifanya UK kushindwa kwenye michezo ya Taifa kwani FIFA wanapima zaidi
Manu nina wasiwasi kuwa wanatumia kama kuna mtu yuko UK basi jaribu kufuatilia utajuwa
Najuwa watu wengi watapinga lakini huo ndio ukweli
usiniulize nimepata wapi habari hii kama unataka kujuwa fuatilia huko FA

#WakeZetu bana.....

BAK naona wageni wamekubana kweli nyumbani....vipi bado unasubiri waondoke ndio ujitokeze?!?
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • b9166a236183fcd2a14fadcee62c6a14.jpg
    b9166a236183fcd2a14fadcee62c6a14.jpg
    192.6 KB · Views: 45
  • ab3c9046b9d40c58b52dd517455073cd.jpg
    ab3c9046b9d40c58b52dd517455073cd.jpg
    69.6 KB · Views: 39
  • 38e7ec00251f8f3ad9a9bd9c3f6ce589.jpg
    38e7ec00251f8f3ad9a9bd9c3f6ce589.jpg
    35.3 KB · Views: 39
  • 214663b42b955ccf84f7ac8d5ebd34dc.jpg
    214663b42b955ccf84f7ac8d5ebd34dc.jpg
    132.1 KB · Views: 41
Muulize kwa nini hakumpanga Ozil?

Nemo ni flop kwenye mechi dhidi ya #BigBoys like #ManUnited ....

Yeye anatamba akikutana na Crystal Palace and the like....

Kuna fukufuku linaendelea pale kwa goons juu yake....goons wanaanza kulalamika wameingizwa cha kike na Real Madrid....wanataka transfer swop January ili wamchukue Karim na wamrudishe Nemo Real....
 
Nemo ni flop kwenye mechi dhidi ya #BigBoys like #ManUnited ....

Yeye anatamba akikutana na Crystal Palace and the like....

Kuna fukufuku linaendelea pale kwa goons juu yake....goons wanaanza kulalamika wameingizwa cha kike na Real Madrid....wanataka transfer swop January ili wamchukue Karim na wamrudishe Nemo Real....
#TeamMburukenge
 
Back
Top Bottom