Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
View attachment 120871
Huyu ni kocha Mauricio pochettino wa southampton amebadili sana timu baada ya kurithi mikoba ya Nigel Adkins..timu ya Southampton ndio timu pekee iliyoruhusu magoli machache kwenye wavu wake kwenye Ligi kuu ya uingereza..huyu ndiye kocha bora wa mwezi huu kule uingereza..huwezi kuukataa ukweli kuwa anajua kufundisha mpira na hasa wa kukaba kama "NYUKI" hawa southampton walimkalisha "high flying Liverpool palepale Anfield na kwenda kuchafua ubao wa matokeo pale Old trafford..
sio timu rahisi hata kidogo..mi binafsi naiona kama big match hii ..ukifanya mistake kidogo wanachafua ubao wa matokeo hawa...
see you after international break...Arsenal VS southampton At Emirates Stadium
.....swadaktaa....
#Southampton na #Sunderland ya Gus Poyet ndio 'vijitimu' vinavyoweza mtoa mtu mzima #Kamasi mpaka sasa..