Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Am afraid, utarudia hii post. Liverpool will rest you guys in pieces.
Lets wait mdau, Mpira hauchezwi mdomon.
Am afraid, utarudia hii post. Liverpool will rest you guys in pieces.
Watu wanaanza kulisusa jukwaa lao,wiki mbili zilizopita walikuwa wanajaa hapa,Kama kawaida mwisho atabaki Wacha1 na Balantanda
Wenzako karibia 30 wameshakimbia,wiki mbili zilizopita mlikuwa karibia 40Haondoki mtu hapa.
Wenzako karibia 30 wameshakimbia,wiki mbili zilizopita mlikuwa karibia 40
Kumbe Arsenal kufungwa.....Tena kwenye Capital One Cup siku hikzi ni ishu kihivyo......
Kazi kwelikweli......
Kama ni kufukuzwa AW angefukuzwa kati ya 2005-May 2013.......Na kama kufungwa ndio kigezo cha kumfukuza AW basi mtaalamu David Moyes sasa hivi angekuwa jobless....
sisemi yeye kuharibu ndio tutese mimi ninasema kwa timu kama Chelsea kumuweka coach huyu kama wameenda hatuwa mbili nyuma tusiseme mengi miaka miwili sio mingi
wazee wa mbio za sakafuni,kama njiwa anayepaa na kupita kwa mwendo kasi akashindwa kukata kona akajigonga kwenye ukuta wa nyumba na kufia pale pale
mkipoteza ya kesho tu kwisha habarinaona sheikh yahaya bado unaranda randa tu ka mjusi kwenye kuta za watu.
Hahahagahahahahaha kaazi kweli kweli!
mkipoteza ya kesho tu kwisha habari
yah keesho mnaporwa point 3kama mpira ungekuwa unachezwa mdomon basi kila siku mashabiki tungekuwa tunaondoka na point tatu muhimu.
yah keesho mnaporwa point 3
.nyinyi munaotoka huko kuja huku na kujaza thread hii mumekuwa wengi kuliko wenyewe Arsenal,
kwani hamuna majukwa yenu mukachangiya hata muje huku kwenye eti timu ndogo?
Timu zote za UK zikiifunga Arsenal wanashangiria sana sasa kama timu ndogo kwanini iwe zogo?
Jose mwenyewe alikataa kumtowa Ba kuja kwa mkopo Arsenal kwa kusema kumpeleka kule ndio Arsenal wamechukuwa ubingwa, kila mtu anaiogopa Arsenal, hata kununuwa mchezaji akijulikana anakwenda Arsenal mizengwe mingi atawekewa asiende
Ligi imeanza tusubiri January
Kama watakuwa wameenda hatua mbili nyuma kinakuuma nini? Inaonekana Mourinho hakukosea alipowaita voyeurs.
Wanasema kuwa whoever comes to equity, you must come with clean hands.
Now, Wenger kakaa hapo Arsenal miaka na miaka mingi lakini unaweza kutuambia the last time Arsenal won a trophy? Be honest Hapo.
Ukweli ambao unauma sana kwa baadhi ya watu ni kwamba kitendo cha Mourinho kurudi Chelsea kunaipunguzia Arsenal chances za kuwin trophies.
That is a naked fact maana kwenye msimu huu tuu tayari Mourinho ameshawapunguzia Arsenal chance ya kushinda kombe moja.
Mie naamini zaidi kwenye competitive football. Hivyo, kitendo cha Mourinho kurudi Premiership kunaifanya ligi iwe more competitive. Kunaifanya ligi iwe more interesting.
Kitendo cha Liverpool kuonekana kucheza vizuri under the current manager ndiyo kinaifanya mechi ya kesho iwe box office.
In the past few years, this fixture has became just another fixture. Probably ndiyo maana mechi ilipangwa kuchezwa at a c.r.a.p time.
Hata waliopanga hii mechi ichezwe at this c.r.a.p time, wangependa sasa ichezwe Jumapili (Super Sunday) because mechi inaonekana itakuwa more competitive than previously thought.