Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1425557_809609699079248_339074694_n.jpg
 
Mentor
umepata wewe, mimi ndio kwanza ninaamka ngoja nikatafute uji ninywe,
Ligi ya EPL
Timu yako nzuri kama wewe Chelsea lakini tutakutana tena usiwe na haraka
Hongera
Ligi ipi unayoongelea...!?? Ya capital one ndo tumewafanyia send off jana...ya EPL..tumemtuma Liver fool awapunguze munkari!



Halafu EMT mbayaaaaaa anapaka pilipili kwenye kidonda hadi Wacha1 analalamika!!!!
 
Last edited by a moderator:
Duuh,kweli hii sherehe ya wengi,but they deserve to be happy mara moja moja!
 
Mentor
umepata wewe, mimi ndio kwanza ninaamka ngoja nikatafute uji ninywe,
Ligi ya EPL
Timu yako nzuri kama wewe Chelsea lakini tutakutana tena usiwe na haraka
Hongera

23 December ndo unaiongelea ama mechi ipi tena mkuu!?? Aisee hiyo chezesheni first squad yenu sisi tutaweka ileile ya jana na hamfui dafu...wachumba zetu tu nyie bana kubalini!
 
huyu jamaa ana bahati kwani hata Real aliharibu na hapo haitochukuwa muda mrefu haifiki misimu miwili utamuona atakavyofanya

Ndoto za alinacha hizo.

Badala ya kusubiri aharibu ili utese ni bora ujiimarishe ili utese nae.

Never ever want to succeed based on another man's failure.

Rather, succeed by beating him when he is at his very best.
 
WTO kwa kuongoza ligi kidogo mnatangaza na ubingwa! Kwa timu gani mliyo nayo!?
Mawiiiiii!
 
Humu bado kuna matanga tu?

Nawasalimu tu mashabiki wenzagu wa soka...
BAK Mbu Balantanda
Wacha1 makelele yote fyatuuuuu

Hivi Arsene Chenga si alisema hasipobeba kikombe chochote ataachia ngazi?

Sasa kwa kutolewa kwenye hiki kikombe cha mbuzi, si ina maana aanze kufungasha kilicho chake? Maana alipigia hesabu kikombe hiki ndicho kingemwepusha na ukame mwaka huu....sasa chali...

#WengerOut is trending.......
 
Last edited by a moderator:
Ukweli haujifichi Gunners tunatisha angalia umati wa mburukenge unavyoshehereka tulipopoteza mechi kwenye kombe la mbuzi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Kama Mentor i n g i d i o t s alivyochema ati kuna EMT or whatever the name he uses now ...... ...... .... majina mangapi wamebadili ili kujikinga na ukweli ulio wazi as for EMT I challenge him to come open and say how many names he has changed since this thread ilipoanzishwa. Mimi sishangai na hawa viota wanaoweweseka wakati ni mchana kweupe. As for Mancs washabiki wake wanachekesha sana wamepoteza mechi kwenye bread and butter competition wakati wapo full nondo wakati chichi tumewaachia wauza unga washinde wajisikie vizuri mkung'uto unawachubiri siku si nyingi tukikwaana kwenye EPL I know they know jinsi tutakavyowasambaratisha. Gunners mziki wetu mkubwa wether you like it or not.

Wote wanaojificha timu zao zikifungwa ni mburukenge tu including wanaobadili majina kama
Inzi ooops chio Inzi wa JF khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee BTW Inzi ulikuwa unatumia jina gani kabla ya hili .... .. au unataka tukuumbue na wewe. Wacha fujo ..... ... huonekana wakibahatisha ushindi. Chelsick thread inaota magugu wanatokea wakiona wamebahatisha chijui watabadili managers mara ngapi ..... ... Prof yupo pale pale hatutegemei pesa za kuuza unga.

 
WTO kwa kuongoza ligi kidogo mnatangaza na ubingwa! Kwa timu gani mliyo nayo!?
Mawiiiiii!

Does the name ring a belll? Nay another pimbi. Lete ushahidi hapa nani alitangaza ubingwa .... ...... ... au ni wewe ulitangaza kwa jina lako la bandia?
 
Update

22.10.13 - Champions League: Arsenal 1 v B. Dortmund 2
26.10.13 - EPL: C.Palace 0 v Arsenal 2
29.10.13 - Capital One cup: Arsenal 0 v Chelsea 2

NEXT
02.11.13 - EPL: Arsenal v Liverpool
06.11.13 - Champions League: B. Dortmund v Arsenal
10.11.13 - EPL: Man. Utd v Arsenal


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee angalau unafuatilia ratiba ya timu kubwa na inayoongoza EPL sio mashoga ambao wakiingia uwanjani wanakuwa hoi bin taabani khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Raha sana kujipa moyo.. Ni kweli mkuu! Life inasonga au siyo?!

Ulipotea naona umefufuka leo kisa ati Gunners wamepoteza mechi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kweli kuna wasioona aibu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hebu hesabu hii ni post yako ya ngapi tangu EPL ianze .. ..Wacha ngebe nenda kawauguze mashoga na divers pale Old Trashford.
 
Ukweli haujifichi Gunners tunatisha angalia umati wa mburukenge unavyoshehereka tulipopoteza mechi kwenye kombe la mbuzi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nicheke mie. Kama Mentor i n g i d i o t s alivyochema ati kuna EMT or whatever the name he uses now ...... ...... .... majina mangapi wamebadili ili kujikinga na ukweli ulio wazi as for EMT I challenge him to come open and say how many names he has changed since this thread ilipoanzishwa. Mimi sishangai na hawa viota wanaoweweseka wakati ni mchana kweupe. As for Mancs washabiki wake wanachekesha sana wamepoteza mechi kwenye bread and butter competition wakati wapo full nondo wakati chichi tumewaachia wauza unga washinde wajisikie vizuri mkung'uto unawachubiri siku si nyingi tukikwaana kwenye EPL I know they know jinsi tutakavyowasambaratisha. Gunners mziki wetu mkubwa wether you like it or not.

Wote wanaojificha timu zao zikifungwa ni mburukenge tu including wanaobadili majina kama
Inzi ooops chio Inzi wa JF khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee BTW Inzi ulikuwa unatumia jina gani kabla ya hili .... .. au unataka tukuumbue na wewe. Wacha fujo ..... ... huonekana wakibahatisha ushindi. Chelsick thread inaota magugu wanatokea wakiona wamebahatisha chijui watabadili managers mara ngapi ..... ... Prof yupo pale pale hatutegemei pesa za kuuza unga.


Kufungwa kunauma......kukalishwa ndani kwenu mara mbili mfululizo, lazima uweweseke.....na bado.....j2 Liverpool wanawakalisha tena.....

Kheeeee kheeee kheeee eti mliwaachia Chelsea!! Kama mlimwachia mbona Arsene Chenga aliwaingiza Nemo na komando kipensi baada ya kuona mambo yakienda mrama?

Hivi hujazoea tu hali hii kwa miaka 8 bila hata kombe hili unaloliita la mbuzi?!?

BTW: nataka uniumbue na majina yangu ya zamani!!!
 
Ulipotea naona umefufuka leo kisa ati Gunners wamepoteza mechi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kweli kuna wasioona aibu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hebu hesabu hii ni post yako ya ngapi tangu EPL ianze .. ..Wacha ngebe nenda kawauguze mashoga na divers pale Old Trashford.

Tuliza munkari kijana..nampa sapoti ya mawazo fan mwenzio, he he..ntapoteaje halafu nifufuke, khe khe khe!!
Nilipotea majukwaa yote siyo spoti tu..kwi kwi kwi..of course bado tunasua sua na Moyes na hilo halihitaji microscope uone🙂)
Easy Wacha1. usije ukanitoa roho!! Niache mara 800 mwana wa watu
 
Last edited by a moderator:
Eti sadly. Hahaha. When last did arsenane funga chelsea? Arsenal ia a lousy team, i always wonder. Na hapo almost all walikuwa tema b (i aint an analyst but rather behave like the owner. Kazi za manager hizo lol)
......pheeewww, kumbe King'asti nawe ni mpenzi wa mpira na tena 'sadly' shabiki wa #Chelsea ... Haya bana....
Bora nawe umeonyesha #TrueColors ....

Msikimbie tu hapa....
 
Last edited by a moderator:
sisemi yeye kuharibu ndio tutese mimi ninasema kwa timu kama Chelsea kumuweka coach huyu kama wameenda hatuwa mbili nyuma
tusiseme mengi miaka miwili sio mingi
Ndoto za alinacha hizo.

Badala ya kusubiri aharibu ili utese ni bora ujiimarishe ili utese nae.

Never ever want to succeed based on another man's failure.

Rather, succeed by beating him when he is at his very best.
 
Mentor
Hata hiyo Dec pia tutakutana au wewe unamtegemea Mourinho?
23 December ndo unaiongelea ama mechi ipi tena mkuu!?? Aisee hiyo chezesheni first squad yenu sisi tutaweka ileile ya jana na hamfui dafu...wachumba zetu tu nyie bana kubalini!
 
Humu bado kuna matanga tu?

Nawasalimu tu mashabiki wenzagu wa soka...
BAK Mbu Balantanda
Wacha1 makelele yote fyatuuuuu

Hivi Arsene Chenga si alisema hasipobeba kikombe chochote ataachia ngazi?

Sasa kwa kutolewa kwenye hiki kikombe cha mbuzi, si ina maana aanze kufungasha kilicho chake? Maana alipigia hesabu kikombe hiki ndicho kingemwepusha na ukame mwaka huu....sasa chali...

#WengerOut is trending.......
Kumbe Arsenal kufungwa.....Tena kwenye Capital One Cup siku hikzi ni ishu kihivyo......

Kazi kwelikweli......

Kama ni kufukuzwa AW angefukuzwa kati ya 2005-May 2013.......Na kama kufungwa ndio kigezo cha kumfukuza AW basi mtaalamu David Moyes sasa hivi angekuwa jobless....
 
Mentor
Hata hiyo Dec pia tutakutana au wewe unamtegemea Mourinho?

Yes namtegemea Mourinho coz he delivers..

Kumbe Arsenal kufungwa.....Tena kwenye Capital One Cup siku hikzi ni ishu kihivyo......

Kazi kwelikweli......

Kama ni kufukuzwa AW angefukuzwa kati ya 2005-May 2013.......Na kama kufungwa ndio kigezo cha kumfukuza AW basi mtaalamu David Moyes sasa hivi angekuwa jobless....

Mkuu nyie ni sawa na mtu ambaye ni maskini hana nguo alafu anakataa bukta kisa anataka suruali..inaingia akilini kweli!??
 
Back
Top Bottom