godsonswai
Senior Member
- Feb 1, 2013
- 129
- 54
EMT
Baada ya miaka miwili tuwasiliane
Hicho kipindi chote ambacho Arsenal haikuchukuwa ubingwa nani alikuwa Coach wa Chelsea?Wacha tuanze tena hesabu safari hii mutabadilisha makocha wangapi?
Tatizo Mashabiki wanachotaka ni kufungwa kwa Arsenal hata kama hilo kombe halina umuhimu kwao,Wenger ameshaangalia kikosi chake ni kidogo kulinganisha na michuano tunayotakiwa kucheza kwa hiyo lazima uangalie kwanza UEFA,Premier League na FA Cup hiyo ndio michuano ambayo kwa klabu ni muhimu sasa mshindi wa Capital One anashiriki Uefa Cup michuano ambayo kwa Arsenal sio ya muhimu na ndio maana Sagna,Gibbs,Mertesacker hawakucheza ingawa ni wazima wa afya waliangalia leo na Liverpool pamoja na Dortmund kwenye Uefa