RVP kila akiangalia Arsenal inavoweka mpira anaona bora asingeliondoka,
anaweka ngumu eti mgonjwa kumbe ngoma nzito timu haiendi Moye kaenda kuomba msaada SAF arudi
Sio kama tulizidiwa na Borussia Dortmund, ila naona vijana mabichwa yalikuwa makubwa, wakitegemea watashinda tu, leo ni nafasi ya vijana kutuonyesha walikosea na watashinda...
RVP kila akiangalia Arsenal inavoweka mpira anaona bora asingeliondoka,
anaweka ngumu eti mgonjwa kumbe ngoma nzito timu haiendi Moye kaenda kuomba msaada SAF arudi
gemu ngumu leo alipotoka Flamini kati kumepwaya, C Palace wanacheza 4 mid kuzuia beki za Arsenal kupanda
Hivi tupo pungufu ndio hivyo lazima tulinde goli
Arteta kapewa red