Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Poleni sana lakini msife moyo mwaka huu mnacheza vizuri kwa hiyo kabati litapata kikombe kimoja hata kama ni mickey mouse cup au kombe la mbuzi
Kila la heri
 
Next 22 days ni crucial kwa msimu wetu tuna fixture ngumu kwenye kipindi kifupi:
22.10.13 - Champions League: Arsenal v B. Dortmund, (home)
26.10.13 - EPL: C.Palace v Arsenal (Away)
29.10.13 - Capital One cup: Arsenal v Chelsea (home)
02.11.13 - EPL: Arsenal v Liverpool (home)
06.11.13 - Champions League: B. Dortmund v Arsenal (away)
10.11.13 - EPL: Man. Utd v Arsenal (away)
#COYG .
Wewe kweli unaifahamu timu yako,wenzako walikuwa wamelewa na ushindi dhidi ya vibonde.Hiki kipindi mkifanya vizuri na Januari mkibalance mambo ndio mnaweza kuanza kufikiria ubingwa.Poleni kwa dozi ya jana
 
Hahahahhahahahahhahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah #mburukenge Wacha1 hahahahahahahahahahahahaha hahahahahahahahahah WHO IS LAUGHING NOW!????
 
Last edited by a moderator:
article-2471992-18EA0AB900000578-989_634x415.jpg



NILITANGULIZA POLEEEEEEEEEE......


article-2471992-18EA0B5500000578-984_634x413.jpg



article-2471992-18EA0AE700000578-800_634x383.jpg



article-2471992-18E9870F00000578-48_634x431.jpg



article-2471992-18E9AA9A00000578-991_634x420.jpg



article-2471992-18E98B3800000578-566_634x390.jpg



article-2471992-18E989A000000578-751_634x358.jpg
 
Mkuu hao ndio Wacha 1 anawaita mburukenge au Vimburu huwa hawajiweki wazi ila siku mpinzani akifungwa ndio wanaibuka.
Wewe umeanza kutembelea hili jukwaa baada ya Masudi Wazir (Mesut Ozil) kusajiliwa nawe ni Mburukenge pia
 
Last edited by a moderator:
Wewe umeanza kutembelea hili jukwaa baada ya Masudi Wazir (Mesut Ozil) kusajiliwa nawe ni Mburukenge pia

sawa kubwa la Mamburukenge vp we kwa upande wako ni baada ya kusajiliwa Fillauni mzee wa wigi.
 
Last edited by a moderator:
.......huyo Leboeuf nae #mburukenge tu!
BTW, nawewe usha conceded the title mpaka unaokoteza vi Quotes hukoo kwenye gazeti la "Dimba" la ufaranza?

Husiweweseke arifu...mimi nimetoa link tu....Man United uwa hatuna kawaida ya kujitapa kuchukua ubingwa hata siku moja..ubingwa uifuata Man United bila kupenda wala kutaka...
 
Naomba nikupuuze tu chifu maana hauna tofauti na wale tunaowaita mashabiki maandazi....

Kufungwa kunauma ehn!?!? Acha kabisa, kushinda ni kutamu aisee....

Shabiki andazi ni nani kati yako na mimi:

a. Yule anayeshindwa kutoa updates kwa sababu timu yake imekalishwa chini?
b. Ama shabiki mpinzani anayesaidia kutoa updates kwenye uzi wa timu pinzani?

Pigia mstari jibu ng'wanangwa...

[TABLE="class: tablehead, width: 100%"]
[TR="class: stathead"]
[TD="width: 2"][/TD]
[TD="colspan: 5, align: center"]HOME[/TD]
[TD="width: 2"][/TD]
[TD="colspan: 5, align: center"]AWAY[/TD]
[TD="width: 2"][/TD]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[TR="class: colhead, bgcolor: transparent"]
[TD="class: sortedColumn, align: left"]POS[/TD]
[TD="align: left"][/TD]
[TD="align: left"]TEAM[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]P[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]W[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]D[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]L[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]F[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]A[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #ffffff, align: left"][/TD]
[TD="width: 22, align: left"]W[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]D[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]L[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]F[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]A[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #ffffff, align: left"][/TD]
[TD="width: 22, align: left"]W[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]D[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]L[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]F[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]A[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #ffffff, align: left"][/TD]
[TD="width: 22, align: left"]GD[/TD]
[TD="width: 22, align: left"]Pts[/TD]
[/TR]
[TR="class: oddrow"]
[TD="width: 15, bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="width: 10, bgcolor: transparent, align: left"]
right_arrow.gif
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]Arsenal[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]5[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]6[/TD]
[/TR]
[TR="class: evenrow, bgcolor: transparent"]
[TD="width: 15, bgcolor: #F1F1F1, align: left"]2[/TD]
[TD="width: 10, bgcolor: #F1F1F1, align: left"]
right_arrow.gif
[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]Borussia Dortmund[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]6[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]6[/TD]
[/TR]
[TR="class: oddrow"]
[TD="width: 15, bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 10, bgcolor: transparent, align: left"]
right_arrow.gif
[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]Napoli[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]4[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]4[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: transparent, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: transparent, align: left"]6[/TD]
[/TR]
[TR="class: evenrow, bgcolor: transparent"]
[TD="width: 15, bgcolor: #F1F1F1, align: left"]4[/TD]
[TD="width: 10, bgcolor: #F1F1F1, align: left"]
right_arrow.gif
[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]Marseille[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]7[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]2[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]4[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]1[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]3[/TD]
[TD="width: 2, bgcolor: #F1F1F1, align: left"][/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]-5[/TD]
[TD="bgcolor: #F1F1F1, align: left"]0[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hilo ni jedwali tu..hata wahasibu wanaweza kuja na jedwali kama hilo...jambo hapa la msingi ni jinsi mlivyokalishwa chini jana na Dortmund isiyo katika kiwango chake kama cha mwaka jana.....

Cheki hapa Arsene Chenga alivyoanza kuweweseka baada ya kipigo cha jana....

1. Arsene Wenger frustrated by immature Arsenal after Borussia Dortmund loss

ARSENE WENGER has claimed his side lacked maturity as they went down 2-1 to Borussia Dortmund on Tuesday evening despite dominating the match for long periods.

aw-438546.jpg


Arsene Chenga akiweweseka jana dimbani Emirates..

Wenger admitted that some of his side were not as fresh as they might have been heading into the game but maintains there is no excuse for letting a match they could have won slip away.

The French boss believes that it is important that Arsenal don't lose games even if they are struggling to win them, a task made almost impossible in this case by Robert Lewandowski's late strike for the visitors.

The Gunners boss praised Dortmund for their physicality, saying his team are yet to encounter anything similar so far this season, although he lamented his team's inability to get into their stride going forward.

Wenger also noted thatJack Wilshere struggled to play to the best of his ability following an ankle injury picked up in the first-half, giving him little option but to substitute the midfielder part-way through the second period.

The loss sees Arsenal equal on points with Dortmund and Napoli half-way through the group stage and Wenger admitted that the group remained both tight and difficult heading into the reverse fixtures.

Source: VIDEO: Arsene Wenger frustrated by immature Arsenal after Borussia Dortmund loss | Football | Sport | Daily Express


2. Arsene Wenger laments 'naive and immature' display as Arsenal lose to Borussia Dortmund


The Gunners boss could not hide his disappointment after his side fell to their first defeat since August.

Arsene Wenger accused his team of being "naive and immature" after conceding a late goal to be condemned to a 2-1 defeat by Borussia Dortmund.

He also claimed Dortmund striker Robert Lewandowski could have been sent off for elbowing Laurent Koscielny before his 82nd winner.

Wenger said: "We put ourselves on the back foot with the first goal, and were a bit naïve with the second goal. If you look at the number of saves our goalkeeper had to make and we conceded two goals, then we can only look at ourselves.

"We were not mature enough. If you cannot win a game then don't lose it. In the second half we were on top, but made it difficult by giving them the second goal.

"It looked like Lewandowksi could have been sent off. I haven't seen it well, honestly, and the referee was in a much better situation. I will have to look at it again."

Source: Arsene Wenger laments 'naive and immature' display as Arsenal lose to Borussia Dortmund - Mirror Online


3. Arsenal manager Arsène Wenger admits qualification will be difficult after Borussia Dortmund loss


Arsène Wenger says Arsenal need to be more streetwise in the Champions League after naive play costs them in a 2-1 defeat to Borussia Dortmund.

Source: Arsenal manager Arsène Wenger admits qualification will be difficult after Borussia Dortmund loss - Telegraph


4. Arsenal 1 Borussia Dortmund 2: Arsene Wenger feeling the squeeze


ARSENE Wenger said this game was the acid test for his Arsenal side and he was right. Unfortunately for him, the Gunners failed.

arsenal-438570.jpg


Mabichwa chini.....

Robert Lewandowski was the Dortmund destroyer, pouncing for the winner in the 82nd minute. A week after his Wembley misery for Poland, Lewandowski's volley handed Dortmund a priceless away victory in the Champions League ‘Group of Death'.

He said that his table-topping team had to prove themselves against the best, starting with Dortmund. That they did not will bring a reality check – and a big hurdle to overcome.


This result means Arsenal must avoid defeat at either Dortmund or Napoli and beat Marseille to progress to the knockout stages.

Borussia Dortmund brought their distinct brand of pressing football to the Emirates and for half an hour calmly suffocated Arsenal. When Henrikh Mkhitaryan fired them in front after 16 minutes a German triumph looked inevitable and it is to Arsenal's great credit that they fought back.

Mesut Ozil, so influential since his £42million move from Real Madrid, had one of his quieter games as Dortmund denied him the time and space he thrives in. He did come alive in the second half and created one great chance that Santi Cazorla cracked on to the bar.

The game was beautifully balanced: Dortmund still willing to commit men forward, Arsenal forced to play on the break.

Source: Arsenal 1 Borussia Dortmund 2: Arsene Wenger feeling the squeeze | Football | Sport | Daily Express


5. Arsène Wenger says Jack Wilshere is 'not completely himself' in Arsenal's defeat to Borussia Dortmund

jack-wilshere_2710602b.jpg


Huyu kasilimu lini?

Jack Wilshere insists he will be fit to play in Arsenal's Champions League and Premier League campaigns despite Arsène Wenger implying the England midfielder was weary.

"You could see he was not completely himself and that's why I decided to take him off,"
the manager said after the player took a knock.

Source: Arsène Wenger says Jack Wilshere is 'not completely himself' in Arsenal's defeat to Borussia Dortmund - Telegraph
 
Borussia Dortmund reveal limit of Arsenal's revival in Champions League clash

Arsène Wenger's side show increased self-belief but were beaten by smarter opponents at the Emirates.

lewandowski_2710439b.jpg


Was the ball finding Nemo or was Nemo finding the ball?

Arsenal's season had obeyed the law that says one good experience leads to another. With each victory the Gunners added points, style, confidence and hope in a future that had been threatening to pan out as the tale of Arsène Wenger's hubris.

It still promises to be more than that, but Borussia Dortmund interjected with a win that cast doubt on Arsenal's ability to overcome opponents of the highest class. There was a case for thinking Robert Lewandowski should have been dismissed for an elbow on Laurent Koscielny before he was able to score Dortmund's winner, but equally that goal showed Arsenal to be "not mature enough in situations like that", according to Wenger. The metronomic brilliance of Wenger's best teams is not fully restored.

But there have been glimpses of it in sweeping forward moves, audacious flicks and turns, and the playmaking of Mesut Özil in an increasingly Germanic construction. The Bundesliga, though, still holds the patent, as Dortmund showed 10 minutes from time when Kevin Grosskreutz crossed for Lewandowski to score unmarked at the far post.

Top of the Premier League and the pre-match leaders of Champions League Group F, Arsenal seemed ready for this more searching test – and were equal to it, before Lewandowski pulled away to cancel out Olivier Giroud's earlier equaliser.

The less optimistic Arsenal fans were probably braced for such a setback. The dark days are too recent for them to believe fully in the renaissance. They want wins all year round and a nice trophy at the end of it. The first cold-shower moment arrived when Aaron Ramsey – a symbol of the resurgence – tried to stage a dribbling exhibition across the face of his penalty box and was robbed of the ball. Dortmund scored through Henrikh Mkhitaryan – a surname to make reporters grateful that copytakers no longer exist.

Source: Borussia Dortmund reveal limit of Arsenal's revival in Champions League clash - Telegraph
 
Kufungwa kunauma ehn!?!? Acha kabisa, kushinda ni kutamu aisee....

Shabiki andazi ni nani kati yako na mimi:

a. Yule anayeshindwa kutoa updates kwa sababu timu yake imekalishwa chini?
b. Ama shabiki mpinzani anayesaidia kutoa updates kwenye uzi wa timu pinzani?

Pigia mstari jibu ng'wanangwa...
Ndio maana nikaomba nikupuuze Chifu maana kazi yangu sio Kuupdate mechi JF......Nina shughuli nyingine za kufanya Chifu.........Na of course nilikuwa nikipata updates kutoka kwa Gunners wenzangu hapa.......

Naona unatumia nguvu na muda mwingii kupost na kukaa kwenye Jukwaa la timu isiyokuhusu.....

Pililpili ya shamba yakuwashia nini Chifu......

Ya Ngoswe.....................Malizia basi
 
Ndio maana nikaomba nikupuuze Chifu maana kazi yangu sio Kuupdate mechi JF......Nina shughuli nyingine za kufanya Chifu.........Na of course nilikuwa nikipata updates kutoka kwa Gunners wenzangu hapa.......

Okay dokey...so you only update when Goons are winning uh?

Heri yako uliye na shughuli nyingi za kufanya...mimi shughuli yangu kubwa ni kupost hapa JF....hususani kwenye hii thread ya Goons....

Naona unatumia nguvu na muda mwingii kupost na kukaa kwenye Jukwaa la timu isiyokuhusu.....

Oh!! Kumbe kweli kufungwa kunauma.....nakusamehe tu leo chifu..naelewa condition uliyo nayo baada ya kichapo cha jana...

Pililpili ya shamba yakuwashia nini Chifu......

Ushaona wapi Inzi anawashwa na pilipili?!?
 
Okay dokey...so you only update when Goons are winning uh?

Heri yako uliye na shughuli nyingi za kufanya...mimi shughuli yangu kubwa ni kupost hapa JF....hususani kwenye hii thread ya Goons....



Oh!! Kumbe kweli kufungwa kunauma.....nakusamehe tu leo chifu..naelewa condition uliyo nayo baada ya kichapo cha jana...



Ushaona wapi Inzi anawashwa na pilipili?!?

Nah......

Nikipata muda,nikiwa huru(hasa weekends) naupdate hata kama Gunners wameshinda ,kushindwa ama kutoka sare......That's what Bala does.....Sijawahi kulikimbia Jukwaa kisa Timu yangu imefungwa Chifu...

Sijawahi kuumia Arsenal , Juventus wala Yanga ikifungwa.....

Kufungwa, kushinda ama sare ni matokeo ya mchezo so hata siku moja siwezi kuumia.....

Anayeonekana hapa kuumia ni wewe Chifu ambaye Timu haikuhusu lakini kutwa kucha unakuja na mabandiko na machapisho kibao ya mtandaoni kuizungumzia Timu isiyokuhusu.....Kwa nini usiutumie muda na nguvu hiyo kuizungumzia Timu uishabikiayo Chifu.....

Ndo maana nikakwambia Ya Ngoswe......
 
Nashukuru tumempata makamu wa Wacha1 katika ubandikaji picture......ni Nzi,i hope atakuwa akibandika kila tuchezapo!
 
Last edited by a moderator:
Anayeonekana hapa kuumia ni wewe Chifu ambaye Timu haikuhusu lakini kutwa kucha unakuja na mabandiko na machapisho kibao ya mtandaoni kuizungumzia Timu isiyokuhusu.....Kwa nini usiutumie muda na nguvu hiyo kuizungumzia Timu uishabikiayo Chifu.....

Ndo maana nikakwambia Ya Ngoswe......

Nakuelewa chifu....stress za kufungwa tu hizo...

Nimeshakwambia kazi yangu ni kushinda JF na kupost kwenye hii thread...sasa unapotaka nifanye kinyume na kazi yangu, nakuwa sikuelewi ati...

Anyway, United 1 Real 0..12th min..
 
Back
Top Bottom