Where are Theo Walcott and Oxlade...not good enough!???
Naona mnajilamba midomo tu....hakuna cha ajabu...same Arsenal with the same finishing...tatizo uwa mnasahau mapema mno...msimu wa jana ilikuwa hivi hivi...na mkasema haya haya...lakini mwishowe mkaangukia pua...puh!
Game 1 group B: Montpellier 1 Arsenal 2
Game 2 group B: Arsenal 3 Olympiacos 1
Game 3 group B: Arsenal 0 Schalke 2
Game 4 group B: Schalke 2 Arsenal 2
Game 5 group B: Arsenal 2 Montpellier 0
Game 6 group B: Olympiacos 2 Arsenal 1
Mkaangukia pua round ya mtoano kwa mabingwa Bayern.
Sasa kushinda mechi mbili imekuwa nongwa?!? Hakuna cha tofauti.....Inaonekana destiny seems to be taking goons in the same route. Next is Dortmund in two consecutive games.
Karibuni Donestk muone kabumbu linavyosakatwa ndani ya baridi la Ukraine....
Kwa hiyo na wewe una gubu pia siyo?!?
Back to winning days,thumbs up for YES..............GOOONERS..............
Back to winning days,thumbs up for YES..............GOOONERS..............
Nachowapendea wapenzi na mashabiki wa Arsenal FC hawakurupuki kwenye kujibu hoja za wapinzani,sio kwamba hawaoni wanaona lakini sasa sijui wanataka iwe vipi?Tulipokuwa tunaishi kwa kufungwa walituambia Matajiri lakini Wabahiri na hawajui kutumia Fedha tumeweka vitabu vyetu sawa tumeanza kununua wachezaji wanasema tena,tumefungwa na Villa hakukukalika kila mtu Wenger mfukuzeni sasa hivi tunashinda kila mechi wanasema tutashindwa tuu sasa kumbe walikuwa wanatucheka kinafiki maana walitakiwa kutupa hongera kwa uvumilivu tulioonyesha kwa miaka nane bila kombe kuanzia Bodi na management nzima ya Arsenal Fc na Mashabiki duniani kote,kusema kuhusu Dortmund kuwa ndio mwisho wa reli walianza kuwa hatutapita kwenye kundi sasa hivi wanaanza kuzitafuta team za kuifunga Arsenal maana walitegemea Napoli kachezewa kama tulivyomchezea Bayern Munich kwenye uwanja wao wa Allienz Arena tuseme kuwa siri ya mafanikio ya Arsenal ni Arsene Wenger kwa kuwa Manager anayejua kwenda na hali ya timu yake tulipokuwa hatuna Budget ya kutosha aliiwezesha timu kucheza UEFA Champions League sasa wameiwezesha team nadhani atafanikiwa hata Fa Cup mwakani atakuwa amejipanga vizuri kwa Premier League Champion kwahiyo wanachokosea wenzetu hawajui kuwa kocha anataka muda sio baada ya mwaka mmoja au miwili mnamfukuza anakuwa hajapanga hata mikakati yake vizuri kama alivyofukuzwa Dicanio amenunua wachezaji 14 wapya unategemea baada ya mechi 6 wawe wanaelewana jamani hapo ndio matatizo ya ku manage club ya premier league yanapokuwa,Man Utd sio kwamba Moyes hajui ila anatakiwa kupewa muda alijua matatizo ya Manutd ni kiungo wa ulinzi wa kusaidiana na Carrik akamtaka Alcantara hakupewa akaomba apewe Contrao wa Madrid hakupewa mnataka afanye miujiza apate ushindi tusiwe tunaongea wakati hatujui matatizo ya timu yapo wapi ? Nadhani mabeki na kiungo wa ulinzi ni pengo linaloonekana wazi Manutd kwa mpenzi anaejua kuifuatilia timu yake vizuri ni kama Arsenal tunavyopata shida wanapoumiaMkuu Nzi kuhusu Takwimu zako kuwa msimu uliopita tulianza hivhivi unatakiwa utambue kuwa Arsenal ya msimu huu ni tofaut na ya msimu uliopita kama ilivyo ukwel kuwa Man Utd ya sasa si sawa na Man Utd iliyochukua EPL Msimimu uliopita. Kwa Arsenal ya sasa huwezi kudharau kazi anayoifanya Flamin katika kuzuia Mashambulizi ya timu pinzani so acha kuishi kwa mazoea mkuu.
Pia Naona mlianza kusema Gunners wanapigwa na Napoli sa hivi naona mmeanza kuongelea Dortimound, me naomba fuatilia katika Miaka ya hivi Karibuni BvB WAmekutana na Gunners mara ngapi na matokeo yalikuwaje.
Kuhusu leo Shaktar siyo wa kuwadharau mkuu tena kwa mpira wenu ule wa everton.
New deal: Arsene Wenger is set to be offered
a new three-year contract worth £8million a season
![]()
Arsene who? A relatively unknown Wenger
took over at Arsenal in 1996
BTW Wakati Gunners wanafikiria kuongeza muda wa prof wapinzani wanafikiria kuwatimua ma-manager wao ..... ....
![]()
Back in business: Jack Wilshere trained with Arsenal on Saturday morning
for the first time since manager Arsene Wenger criticised him for smoking on a night out
Baada ya kuwashiwa moto Jack akitinga Colney .... .... ... .. .
![]()
Prof kama kawa .... ...... ..
![]()
Bit of a stretch: Wilshere was in good spirits during training
at London Colney as Arsenal prepare for their trip
to West Bromwich on Sunday
![]()
He's behind you: Wilshere hunts down Aaron Ramsey
to try and claim the ball during a training ground exercise
![]()
All smiles: Serge Gnabry has plenty to be happy
about as the Gunners top the Premier League
Jack being cautious to the "Welsh Maestro"..