Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Matokeo mazuri Arsenal, good season so far.... ila huko Etihad kimewakaaaaa!
 
Nimemkubali dogo serge gnabry,anajua,ana mbavu za EPL halafu ni mbishi.
 
Nimeona kule Manyema united kupo kimya!
Jamani naombeni kujuzwa yaliyojiri Etihad stadium
 
zp_01_Arsenal-fans-1_4174.jpg





zp_02_Arsenal-fans-2_9853.jpg





zp_10_Rambo-goal-1_1825.jpg






zp_11_Rambo-goal-2_7363.jpg





zp_12_Rambo-goal-3_3793.jpg




zp_24_Ozil-3_8979.jpg





zp_25_Sagna-goal-1_1558.jpg




zp_26_Sagna-goal-5_6599.jpg



zp_28_Sagna-goal-3_9279.jpg




zp_32_Ryo-1_2330.jpg






zp_29_Sagna-goal-4_8156.jpg



Mambo ya Emirates hayo ..... ..... ..
 
Namsubiria sana hapo Novemba 10.

Haha mkuu Nzi huchoki tu?li-timu lenu mwaka huu libovu aisee, RVP ndo mtima wenu basiiiiii,akikabwa vizuri hamchomoki,manake hata arsenal waamshwe usingizini kwa mziki ule mtachezea kichapo sana!! Mark my word!!

Ingawa ubora wa timu kwa EPL ni kucheza na big 4 lakini I dare to say Arsenal wako vizuri msimu huu..labda wawe na mgogoro hapo badae!! Manake nimeona sehemu Carlo Anchellot anajuta sasahv kumuuza OZIL anadai eti aliomba mwenyewe aihame timu kwa kuhofilia kukaa benchi...does this sound good??
 
...hahaha..... Umenikumbusha "miaka ya 47" kulikuwa na dawa unamwagia on surfaces... Ya unga unga hivi, nzi wakitua tu wana rest in peace...

Halahala jamani, msipulize dawa mingi mkaua na mbu!


hahahaha mkuu hiyo ni kwa nzi tu !! ... Ameomba mpaka nov. 10 .. Ndio tumwage bana
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Haha mkuu Nzi huchoki tu?li-timu lenu mwaka huu libovu aisee, RVP ndo mtima wenu basiiiiii,akikabwa vizuri hamchomoki,manake hata arsenal waamshwe usingizini kwa mziki ule mtachezea kichapo sana!! Mark my word!!

Bongo pundits bwana! Gemu 5 tu washaanza kusema timu libovu!! Hadi sasa ni points 15 tu ndiyo zimetafutwa; bado zipo 99 ambazo hata bingwa uwa ni nadra kuzifikia!!

Game styles ubadilika kutokana na timu zinavyocheza. Sasa kama wewe ni mfuasi wa soka huwezi kutumia matokeo ya jana kama benchmark ya matokeo ya United vs. Arsenal. United vs. Arsenal na United vs. City ni games 2 zilizo tofauti sana. Unakumbuka ule mwaka United ilivyowapiga Arsenal 8-2, kisha ikapigwa 6-1 na City? Sasa hapo utasemaje?!?

Tuombe uzima; tusiandikie mate. Novemba 10 jibu litapatikana.

Ingawa ubora wa timu kwa EPL ni kucheza na big 4 lakini I dare to say Arsenal wako vizuri msimu huu..labda wawe na mgogoro hapo badae!! Manake nimeona sehemu Carlo Anchellot anajuta sasahv kumuuza OZIL anadai eti aliomba mwenyewe aihame timu kwa kuhofilia kukaa benchi...does this sound good??

Ligi ni sawa na mashindano ya marathon na si ya sprinting kama akina Usain Bolt. Hivyo hizo games 5 si kiashiria kizuri cha kujua kama timu itashinda marathon.
 
Ingawa ubora wa timu kwa EPL ni kucheza na big 4 lakini I dare to say Arsenal wako vizuri msimu huu..

Unakumbuka Arsenal hii ya mwaka 2007/08?

espnfc.com/team/squad/_/id/359/season/2007/league/eng.1/arsenal?cc=3888

Cheki hapa baada ya games 5..Arsenal at the top of EPL with 13 points.

www.statto.com/football/stats/england/premier-league/2007-2008/table/2007-09-17

But look at the end of season!

www.statto.com/football/stats/england/premier-league/2007-2008/table

Ligi ni marathon chifu.

Anyway hongereni kwa kuongoza ligi.
 
Back
Top Bottom