Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

So far so good, ila kipimo, those big 4 or 5.

Kahawa inashuka vizuri mno leo...
 
Tunatesa kileleni kwa raha zetu, sasa tuusubiri mchapo unaofuata kati ya MANU na MANC draw ya 0-0 itakuwa poa sana maana wote watafikisha 8 points wakati sisi tuna 12 points kibindoni.
 
Van puuuu nje leo, ni pigo kubwa kwa MANU lakini Rooney yuko fit sana.
 
Hii ndio Arsenal tuliokuwa tunaitaka January ni kununua beki basi!Arsenal raha sana!!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom