Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bongo pundits bwana! Gemu 5 tu washaanza kusema timu libovu!! Hadi sasa ni points 15 tu ndiyo zimetafutwa; bado zipo 99 ambazo hata bingwa uwa ni nadra kuzifikia!!

Game styles ubadilika kutokana na timu zinavyocheza. Sasa kama wewe ni mfuasi wa soka huwezi kutumia matokeo ya jana kama benchmark ya matokeo ya United vs. Arsenal. United vs. Arsenal na United vs. City ni games 2 zilizo tofauti sana. Unakumbuka ule mwaka United ilivyowapiga Arsenal 8-2, kisha ikapigwa 6-1 na City? Sasa hapo utasemaje?!?

Tuombe uzima; tusiandikie mate. Novemba 10 jibu litapatikana.



Ligi ni sawa na mashindano ya marathon na si ya sprinting kama akina Usain Bolt. Hivyo hizo games 5 si kiashiria kizuri cha kujua kama timu itashinda marathon.
Ukifungwa ndo akili za kuandika point kama hizi zinakurudia kwa brain,chezea man city,utalala na viatu!
 
Nzi
Kweli ligi ndo imeanza, kuna points nyingi za kuchezea na hatuwezi kufanya conclusion kwa mechi tano.. 33 more matches to be played, ila NADHANI the main concern here is how MANU will cope withiout the magics of SAF, the man knew how to win games, timu ilikuwa inaanza taratibu ila come December wana gain momentum.

Sasa tuje kwa Moyes, he's an experienced coach for a mid table team, hajawa na experience ya timu kama manu, swali linaulizwa na soccer fans, je ataweza kufikia heights alizofika babu, it took SAF 3yrs to bring a silverware, do u think Moyes will be given such a time?
 
Last edited by a moderator:
Arsenal supporters want more investment as club remains in profit

• Fans believe Wenger should have £80m transfer kitty
• Mesut Özil's £42.5m arrival not included in latest figure


Mesut--zil-joined-Arsenal-008.jpg

Mesut Özil joined Arsenal from Real Madrid for £42.5m but supporters' groups want further investment at the Emirates. Photograph: Joe Toth/BPI/Corbis

Despite splashing out on Mesut Özil, Arsenal supporters' groups have called for further significant investment over the next two transfer windows after the club's financial results revealed they are still sitting on a large cash pile.
The club's results to the end of May 2013, which do not take into account their summer transfer dealings, show that the club had £153.5m in the bank.
Even taking the £42.5m signing of Özil into account and the reserves required to fund the business, the Arsenal Supporters' Trust believes Arsène Wenger should have up to £80m to spend over the next two transfer windows. That financial firepower is underlined by the expected contribution of new commercial deals with Emirates and a new kit supplier (expected to be Puma), the full effects of which will not be seen until this financial year.
Previously Arsenal's earning power was depressed by the long-term deals signed to underwrite the move to the Emirates. The accounts show that pre-tax profits were down to £6.7m from £36.6m the previous year, largely as a result of a smaller profit on player trading, despite the sale of Robin van Persie to Manchester United and a £10m one-off impairment charge on writing down the value of players.

They also show an 8% uplift in the wage bill to £153.5m. But on the plus side they also reflect increased turnover of £242.8m, up from £235.3m last year, largely as a result of the first benefits of the new £150m deal with Emirates to sponsor their shirts and stadium. Arsenal's chairman, Sir Chips Keswick, talked up the signing of Özil – calling him "one of the world's best players" – but said the club would continue to follow a prudent course.

"It is my job to ensure we steer further along the course we have set," he said. "We must continue to grow commercially to provide the club with the best opportunity to achieve success and we must do this in a way which remains true to our values and which ensures and protects the long-term sustainability of the club."

He underlined, however, that significant sums remained available for Wenger to spend, if he deemed it necessary. "With the Özil transfer I believe we have made a significant statement and when Arsène decides the time is right to invest again Stan Kroenke, myself and the rest of the board will be delighted to support him."

The Arsenal Supporters' Trust, which has consistently called for more investment in the playing squad, said it believed the 2012-13 results would represent "the last year of Arsenal selling its best players to achieve profitability as the substantial increases in revenue from both renewed TV contracts and commercial deals come on stream".

"We are encouraged that since the season ended much progress has been made by Arsenal to remove the non-performing players from the wage bill. This pruning has allowed scope for more concentrated wage spend," said an AST spokesman.

"Looking forward, Arsenal are in a healthy financial position, with substantial cash reserves. The AST continues to urge the club to invest the money it has to further strengthen the current first-team squad and improve the chances of winning silverware. Substantial funds are available for additional transfer and wage spend without affecting self-sustainability."

Keswick also underlined the board's confidence in Wenger, whose contract expires at the end of the season. "We have a manager in Arsène who is as focused and determined to win trophies as he was when he first arrived," said the Arsenal chairman, who took over from Peter Hill-Wood in June



 
Nzi
Sasa tuje kwa Moyes, he's an experienced coach for a mid table team, hajawa na experience ya timu kama manu, swali linaulizwa na soccer fans, je ataweza kufikia heights alizofika babu, it took SAF 3yrs to bring a silverware, do u think Moyes will be given such a time?

Era ya SAF ishapita; Man United has to move on and avoid moving on with SAF's shadow on their minds.

Fans kuwa na maswali kama hayo ni kawaida na inaeleweka. Kwa sababu kwa muda mrefu United ilikuwa inahusishwa na SAF.

Yes, experience kwa kocha inamatter; ila nyakati zingine uwezo wa timu pamoja na management nzima inaweza kumbeba kocha hasiye na uzoefu. Maana kwa mpira wa Uingereza, Moyes ni meneja tu; kuna makocha ambao wanafanya kazi ya karibu zaidi na wachezaji. Ingawa mara nyingi managers ubadili timu wakiwa na coaching staffs wao.

Mimi naona David hatostruggle kama SAF alivyoanza. Kwani mpira sasa ni wa pesa; hivyo bwana Edward Woodward akimwaga pesa za David kusajili wachezaji wakali basi, atakuwa na mtihani mdogo kuweka alama yake pale OT.

Hivyo, tusubiri pale Mei.
 
Last edited by a moderator:
Nzi unaitwa kwenu unatafutwa huonekani umekimbilia huku, hebu nenda uonekane
Era ya SAF ishapita; Man United has to move on and avoid moving on with SAF's shadow on their minds.

Fans kuwa na maswali kama hayo ni kawaida na inaeleweka. Kwa sababu kwa muda mrefu United ilikuwa inahusishwa na SAF.

Yes, experience kwa kocha inamatter; ila nyakati zingine uwezo wa timu pamoja na management nzima inaweza kumbeba kocha hasiye na uzoefu. Maana kwa mpira wa Uingereza, Moyes ni meneja tu; kuna makocha ambao wanafanya kazi ya karibu zaidi na wachezaji. Ingawa mara nyingi managers ubadili timu wakiwa na coaching staffs wao.

Mimi naona David hatostruggle kama SAF alivyoanza. Kwani mpira sasa ni wa pesa; hivyo bwana Edward Woodward akimwaga pesa za David kusajili wachezaji wakali basi, atakuwa na mtihani mdogo kuweka alama yake pale OT.

Hivyo, tusubiri pale Mei.
 
Kombe la mbuzi ndio kwanza linaanza ... ...T5 na Arteta ndani pamoja na Gnabry .... ..

Fabianski, Jenkinson, Mertesacker, Vermaelen, Monreal, Miyaichi, Hayden, Arteta, Gnabry, Eisfeld, Bendtner. Subs: Flamini, Park, Akpom, Bellerin, Olsson, Iwobi, Viviano.

COYG .... ....
 
Kombe la mbuzi ndio kwanza linaanza ... ...T5 na Arteta ndani pamoja na Gnabry .... ..

Fabianski, Jenkinson, Mertesacker, Vermaelen, Monreal, Miyaichi, Hayden, Arteta, Gnabry, Eisfeld, Bendtner. Subs: Flamini, Park, Akpom, Bellerin, Olsson, Iwobi, Viviano.

COYG .... ....

Umeshaanza kujenga hoja mapema kuwa hili ni kombe la Mbuzi ili mkilikosa iwe ndo kisingizio
 
Umeshaanza kujenga hoja mapema kuwa hili ni kombe la Mbuzi ili mkilikosa iwe ndo kisingizio

Hili kombe la mbuzi tumewaachia nyinyi mashoga khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

Kabati limekuwa tupu since 2006

Mnaacha kuangalia au kusikiliza mipira yenu mnakuja kuwanga huku .... ..... . ... haya Handes anawapa goli huko Vuvuzela una la kusema ooops la kuchema?
 
Kipindi cha pili kimeanza bila bila .... .. lazima mshindi apatikane leo hii ... .... ... ...
 
Eisfeld anafunga hapa pass kutoka kwa Bendtner 1 up .... ..
 
Nasikia Nzi ananyatia akisindikizwa na Mfarisayo, Belo et al wapo gado wakati Ngongo katokomea khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee dakika za majeruhi chacha .... ... possibly extra time
 
Back
Top Bottom