Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?

.....duh, jamani....
Si amesema tuu!?
 
Masud Wazir hajafunga la ushindi?

.....una haaaaamu, hahaha!
Ngoja nikutumie ka sticker ka ze gunner ubandike kwenye screen yako

😄😄😄
 
Huyu Ramsey tutamsajili mwakani naona amekomaa tayari aje kuungana na RVP
 
Hahahahaha lol! We kweli macho yako mazuri 🙂🙂 umeona mpaka mtu anang'atwa na Sagna kwi kwi kwi kwi...Bado tuko juu ya MANU hahahahah lol!

Sagna akimshikilia mtu na kumng'ata na refa kukataa goli
 
Tushamaliza game tayari....
Asante Ramsey......ngoja nivute kasi ya kuwashangalia Everton saa moja na nusu...
 
Tushamaliza game tayari....
Asante Ramsey......ngoja nivute kasi ya kuwashangalia Everton saa moja na nusu...

Everton si wamecheza na crystal palace leo mchana?
Nilimwona Moyes na Jackson5 Fellaini uwanjani, au?
 
Back
Top Bottom