Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hahahahaha lol! kuna mahindi ya kuchoma kule na kushushia kwa Togwa 🙂🙂 huku kwetu Mkuu Nzi kasikia harufu ya pilau la kuku wa kienyeji na kachumbari ya kumwaga ndio maana kang'ang'ana hataki kuondoka lol!

kwenu kumepikwa leo hebu rudi kwenu wacha kuwanga hapa
 
Last edited by a moderator:
Asante sana Everton kumbe maisha yanawezekana bila Manywele...Muacheni akapotee huko OT...
Yule Refa aliyechezesha mechi ya United ndo kaniharibia weekend.....
 
"The special one" kakaribishwa rasmi BPL, karibu Mourinho, karibu mno....
 
Hawez kuja...aibu imewanata mata-ni-ko
Kwa waelewa wa mpira hata Liverpool,Mancity,Tottenham wakicheza na Chelsea usishangae wakimfunga,Tatizo lilionekana tokea walipocheza na Aston Villa na Man Utd sasa walitegemea nini kwa timu kama Everton wanaocheza mpira wa pasi na kasi kubwa tutegemee kuona umuhimu wa Makocha sio kuwa na wachezaji Bora ambao hawachezi kitimu,Angalia mfano wa Madrid usiku walicheza kawaida sana tofauti na wapinzani wao waliocheza kitimu zaidi na ushirikiano mkubwa



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Sasa watasema sana tu......,pale Old Toilet mpaka watafutiwe penalti-RvP
 
Kuna mtu anaitwa [MENTION]PEASANT [/MENTION]na ndugu yangu Masanilo ....

Hawa jamaa siku timu yao inacheza huwa hawacomment na ikifungwa ndo hupotea kabisa jukwaani.....Lakini cha ajabu kila siku wapo jukwaa la Imarati kumwaga shombo......Hawa tunawaita mashabiki maandazi a.k.a vilaza......Wazee wa GUBU......Ya kwao yanawashinda lakini ya wenzao kutwa midomoni mwao.....

KTBFFL
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu anaitwa Peasant na ndugu yangu Masanilo ....

Hawa jamaa siku timu yao inacheza huwa hawacomment na ikifungwa ndo hupotea kabisa jukwaani.....Lakini cha ajabu kila siku wapo jukwaa la Imarati kumwaga shombo......Hawa tunawaita mashabiki maandazi a.k.a vilaza......Wazee wa GUBU......Ya kwao yanawashinda lakini ya wenzao kutwa midomoni mwao.....

KTBFFL
 
Last edited by a moderator:
Kwa waelewa wa mpira hata Liverpool,Mancity,Tottenham wakicheza na Chelsea usishangae wakimfunga,Tatizo lilionekana tokea walipocheza na Aston Villa na Man Utd sasa walitegemea nini kwa timu kama Everton wanaocheza mpira wa pasi na kasi kubwa tutegemee kuona umuhimu wa Makocha sio kuwa na wachezaji Bora ambao hawachezi kitimu,Angalia mfano wa Madrid usiku walicheza kawaida sana tofauti na wapinzani wao waliocheza kitimu zaidi na ushirikiano mkubwa



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Nadhani MANU bado wana kazi ngumu ku-gel, wachezaji ni walewale, ila kocha, mpya anafanya timu iwe na philosophy mpya ambayo itachukua mda kuwa implemented.
Kwa upande wa ARSENAL, nadhani mwaka huu.... kama hakutakuwa na uzembe, basi kutakuwa na silverware japo moja.
 
Nadhani MANU bado wana kazi ngumu ku-gel, wachezaji ni walewale, ila kocha, mpya anafanya timu iwe na philosophy mpya ambayo itachukua mda kuwa implemented.
Kwa upande wa ARSENAL, nadhani mwaka huu.... kama hakutakuwa na uzembe, basi kutakuwa na silverware japo moja.

Kama wewe unakumbukumbu nzuri utakubali kuwa mwaka Man Utd wapo vizuri zaidi kwa kucheza na hata defence ya mwaka huu ipo zaidi si sawa na msimu uliopita, Kazi kubwa wanayo City na Chelsea wazee wa kusajili sajili hovyo Kila dirisha dogo na kubwa lazima wasajili.
 
Kuna mtu anaitwa Peasant na ndugu yangu Masanilo ....

Hawa jamaa siku timu yao inacheza huwa hawacomment na ikifungwa ndo hupotea kabisa jukwaani.....Lakini cha ajabu kila siku wapo jukwaa la Imarati kumwaga shombo......Hawa tunawaita mashabiki maandazi a.k.a vilaza......Wazee wa GUBU......Ya kwao yanawashinda lakini ya wenzao kutwa midomoni mwao.....

KTBFFL




Naona unanifuatafuata sana jirani yangu, bahati mbaya ni kwamba nilishaoa sihitaji nyumba ndogo. Habari mbaya zaidi kwako ni kwamba mimi niko straight, sina mpango na wassenge hivyo jaribu bahati yako kwingine.
 
Last edited by a moderator:
Kama wewe unakumbukumbu nzuri utakubali kuwa mwaka Man Utd wapo vizuri zaidi kwa kucheza na hata defence ya mwaka huu ipo zaidi si sawa na msimu uliopita, Kazi kubwa wanayo City na Chelsea wazee wa kusajili sajili hovyo Kila dirisha dogo na kubwa lazima wasajili.

Nakibali maneno yako ila unajua Sir Alex is a winner, alishinda mechi zingine ambazo timu ilikuwa ifungwe, aliogopwa na baadhi ya media, referees, kama unakumbuka kuna kipindi BBC walikuwa na bif nae.

Will Moyes emulate Sir Alex? Ni swali kubwa na inawezekana ikachukua mda kufikia heights za babu.

Chelsea na Man City hatuwezi kuwatabiri, japo naona kazi yaweza kuwa ngumu kwa Manuel Pellegrini. Mourinho ana uzoefu England na atautumia kiipa timu yake japo silverware moja.

Tottenham na Liverpool wanaweza kutushangaza mwaka huu, they've assembled a group of young blood, very talented individuals.

Ila, as a GOONER, huu mwaka lazma tutatumia uzoefu wa Wenger kupata kikombe.
 
Naona unanifuatafuata sana jirani yangu, bahati mbaya ni kwamba nilishaoa sihitaji nyumba ndogo. Habari mbaya zaidi kwako ni kwamba mimi niko straight, sina mpango na wassenge hivyo jaribu bahati yako kwingine.

kama n mambo ya soka tu, kwenye red hujaonyesha uungwana...ila kama kuna jingine lililojificha nachukua jembe nikalime sasa, pia pole kama nawewe ni ze bluu mkuu
 
Back
Top Bottom