Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Naona Upo hapa kuomba njaa!Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
Naona Upo hapa kuomba njaa!Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
Unaitwa kwenu kule, kila wakati uko kwa watu mpaka kwenu unasahau?au umesahau njia ya kurudi kwenu ndio umefika hapa Arsenal?
Naona Upo hapa kuomba njaa!
Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
Unajua maana ya kama kawa wewe Goons? Hii ni mara ya kwanza kwa Ozil na Giroud kucheza; sasa kama kawa ipi? Ya Ozil kutoa pasi ama Giroud kufunga?
Unaitwa kwenu kule, kila wakati uko kwa watu mpaka kwenu unasahau?au umesahau njia ya kurudi kwenu ndio umefika hapa Arsenal?
giroud kufunga!
Alafu nenda kwenu
Huyu mbona ni mdau wa humu muda mrefu? Au umemsahau kwa kuwa hachangii sana?
Nzi hatuitaji Refa kutubeba wala mchezaji kupewa red
.Hii kiungo ya Gunners ni hatari..
Ozil kaleta ladha mpya kati pale.
Kwetu, tumeshamaliza kazi...
Poa mtu mzima!Kuomba njaa kweli kweli...adui mwombee njaa, walisema waswahili.
Ila Ozil namkubali, dah!
Huyu ni Gunners mwenzio,amekimbia jukwaa muda mrefu hadi umemsahau
Tuwekee picha ya Beki wa Palace akipewa red au Van P akifunga penati..
Hahaha penalty halali kabisa hiyo wana Arsenal achen ulalamish