Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Do you know the meaning of that word? Au ndio kukurupuka kwenyewe. Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtalia sana tu.


BTW nilikuwa namwangalia Rafa hapa kesha maliza mambo yake kwenye US open chacha namfuatilia Mr Woods ingawa anachechemea ... ..... ... kesho napanda ungo wangu natinga Emirates naona hali ya hewa itakuwa shwari. Chi unajua tena lazima Totts tuwabangue na huyu mia cat aliyetoroka kutoka kwenye cowshed.

Wapo Uefa CL elites lakini katika hilo basi Arsenal hapandi sababu hana vigezo vya kuwa mmoja wa CL elites. Kama umeshaibeba hiyo ndoo unaweza kuwa-considered as elite tena si mara moja ya one time wonder.
Gang Chomba atanisaidia . Ngoja nifaidi game ya LSU@TCU
 
Wapo Uefa CL elites lakini katika hilo basi Arsenal hapandi sababu hana vigezo vya kuwa mmoja wa CL elites. Kama umeshaibeba hiyo ndoo unaweza kuwa-considered as elite tena si mara moja ya one time wonder.
Gang Chomba atanisaidia . Ngoja nifaidi game ya LSU@TCU

always better shut up if you dont understand rather than just spitting some damn shit
 
'I cannot deny the transfer market’s a problem for me' says Arsenal's Arsene Wenger


He also took a side-swipe at managerial rivals who are simply buying teams, rather than -producing them, saying: “Isn’t that the point of being a manager, rather than the ones who buy and sell?”

While Spurs boss Andre Villas-Boas and other Premier League coaches have been out spending millions on new stars this summer, Wenger has spent nothing.

Moves for players such as Luis Suarez, Wayne Rooney and Gonzalo Higuain have ended in failure, with other clubs stepping in and offering more.

Wenger says he could never work with a director of football, unlike North London -rivals Spurs, who have had Franco Baldini working on their transfer deals and earning praise from AVB.

But when asked if he took too much responsibility on his shoulders, Wenger was brutally honest, admitting finding -players for the right money was a problem for him.

He told the Daily Star Sunday: “I have been in charge of Arsenal for more than 900 games but I don’t deny that the transfer -market is a problem for me. I have people around me who help but the final decision has to be down to the manager.

“Isn’t being a football manager about developing a player and making him a better one? Or are we just going out and buying them now?

“During the transfer window the quality of the manager seems to just be down to who he buys and who he sells.

“My ideal squad would consist of 17 to 18 players and they would be young players. If you have too many in a squad you never have the chance to give a young player an opportunity.

“Once you have 25 senior players you can send your academy to the moon -because no one will ever get the chance to play. Buying players is not as easy any more. There are more contenders and more great players.

22094.jpg


Some Arsenal fans have become frustrated with Wenger's lack of spending


“I always wanted to be in a position where I did not have to buy.

“People today have been brainwashed. People don’t question any more if players are better than the ones you already have.

“Take Tomas Rosicky. You have to find a better player than him or Santi Cazorla or a -better player than Jack Wilshere. That’s what people forget, just how good the players you already have are. It is difficult to accept because people don’t look -any more.”

One thing Wenger does have in common with AVB is the praise the Spurs manager has recently heaped on fit-again Rosicky, suggesting it was -almost like having a new -player playing for you.

Wenger said: “He is a -fantastic player. He was one of those players who turned our season around two years ago after a long-term injury. And last season it was the same.

“Many times our results are linked with his -presence. He will have a big impact this season if he stays -injury free. It is also -important for me to use him in the right way.

“We have some great players, while some, unfortunately, have been injured, like Wilshere and -Aaron Ramsey. But they are now fit again.

“Ramsey is 22 and Wilshere is 21 so that means they can only get better. They have fantastic -qualities and have fantastic -engines.

“I’m not against having people to help me buy and sell. I cannot do it all. I am not Superman”

Arsene Wenger
“People don’t realise they have something special here. They just want more and more. It’s -consumerism at any cost. But you have players like that where you know for the next five or six years you have real quality. That kind of pride and patience is not rated anymore. It has just disappeared.”

Wenger believes they can overtake the likes of Manchester United with the team he’s got, rather than going out to buy.

He said: “You can make up for that with two things. You need to improve what you have. Take Wilshere. He didn’t have too many games last season, Rosicky didn’t play many games last year.


“The second thing is to strengthen the squad, which we are trying to do and the third thing is that -Manchester United may not have the good season they had last year.


“We have to win our games like the one on Sunday against Spurs to be credible -contenders. We have until Monday night to strengthen our squad and, hopefully, we will do that.

“I could not work with a -director of football. A director of football buys the -players. When they don’t work, you are guilty for them not playing well. If it works the director of football has bought well.

“I’m not against having people to help me buy and sell. I cannot do it all. I am not Superman.

“But the final decision has to be the manager’s.”
 
My comments on the red highlighted sentences respectively:
1. I think we have all noted that not only finding players is a problem but even signing them.

2. I believe we already have 17-18 senior players, is he saying NO NEW SIGNINGS? Hili suala nililigusia kipindi flani, Wenger yuko concerned kudevelop youngsters zaidi kuliko kununua established players. Nieleweke kuwa kudevelop wachezaji wadogo si vibaya lakini LAZIMA kuwe na balance. Zelalem hawezi kudevelop vizuri kama leo akiwa na miaka 16 anaweza kuwekwa bench. Kunapaswa kuwe na squad kubwa ya kuwachallenge na kuwamentor hao youngsters kiasi kwamba siku akiwa bench unakuwa unajua kweli kafanya kazi. And to prove it all, kufocus in developing youngsters has failed in the last 8 years kwa kuwa hakuna trophy hata moja. Na hao youngsters wakiona hivyo wanaondoka unaanza upya. So there is something terribly wrong.

3. Then he goes on to say he wants to be in a position where he does not want to buy. fair enough. If you do not want to buy and put faith in youngsters, make sure you win trophies with them or its just bollocks. And the reason fans are mad is because the so called youngsters have failed to win trophies for 8 consecutive years not because fans are brainwashed. In fact he is brainwashing fans into thinking they are brainwashed.

4. Wenger says he has players that will be challenging in FIVE OR SIX YEARS. WHAT THE F ARE YOU SMOKING??? Who wants to wait for FIVE MORE YEARS?? Koscielny made it clear, if we don't buy and do not challenge he is leaving next season. This is how it is going to be if we do not want to strengthen the team and wait for youngsters to perform. YEAR IN, YEAR OUT!

5. Listen. Football is competition. You do not have to wait for Manchester United to perform poorly. YOU HAVE TO BE BETTER THAN THEM. This is not rocket science. You do not take chances like that.

Lastly I think it speaks for itself, unless we lose today, kuna possibility ndogo sana ya kununua mchezaji wa maana. I hope I a proved wrong. With that said, I am in full support of our soldiers who will be on the field today! COYG
 
Wakuu, juzi nilieleza habari kwamba kuna kampeni dhidi ya Arsenal na Arsene Wenger.

Leo gazeti la Daily Mail la UK limeeleza ni jinsi gani Tottenham wanavyojitahidi kuizuia Arsenal tena kumbe na timu zingine kufanya usajili kwa ajili kuimarisha timu zao.

Someni hio habari na mtaelewa.

Spurs keep Real waiting on Bale in bid to derail Arsenal's last-gasp transfer hopes


By Pete Jenson and Ian Stafford

PUBLISHED: 23:54, 31 August 2013 | UPDATED: 02:59, 1 September 2013


Tottenham make Real Madrid wait to sign Gareth Bale to make it hard for Arsenal to bolster squad | Mail Online
 
Spurs hata wakibana vipi ishu zipo wazi they will always mind the gap starting from today,,,,, chapa mpaka wanalala
 
Arsenal leo inatarajiwa kuingia Emirates ikiwa na kikosi chake imara.

Mathews Flamini huenda akaingia kcueza moja kwa moja kushika nafasi ya Mikael Arteta.

Ikiwa hivyo kikosi kinaweza kuwa kama ifuatavyo:

Wojciech Szczesny, Kieran Gibbs, Bacary Sagna, Per Mertesacker na Laurent Koscielny

Kiungo- Mathew Flamini Aaron Ramsey na Jack Wilshere

Ushambuliaji- Santi Cazorla Theo Walcott na Olivier Giroud.
 
..... Shedafa!!!!!!

Jamani naombeni msaada wa aliyeliona jukwaa, au "thread" ya Totenham Hot Spurs aifufue!!!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu naona mambo yameanza kwenda kwa kasi.

Arsenal imefanikiwa kuzungumza na timu ya Palermo ya Italy kuhusu kumsajili kipa wa timu hiyo Emiliano Viviano ambae ni kipa namba 2 wa timu ya taifa ya Italy.


Emilio Viviano

Viviano alikuwa akichezea timu ya Fiorentina lakini timu hiyo imeamua kutomsajili moja kwa moja hivyo kuwapa motisha Arsenal kumsogelea na kuzungumza nae.

Kipa huyo ambae ana umri wa miaka 27 anatarajiwa kuwasili jioni hii akitokea nchini Italy kufanya medical na kuzungumzia ama loan deal ambayo ina option ya kuwa permanent au loan deal tu.

Kama mambo yataenda uzuri basi kesho kipa huyo atatangazwa siku ya Jumatatu ambayo ndio siku ya mwisho kufanya usajili wa wachezaji nchini Uingereza.
 
TEAM NEWS

Leo Sagna anakaa bench na Carl Jekinson akichukua nafasi yake na Rosicky anaanza huku Flamini nae akiwa anaanzia bench.

Kwahio timu rasmi itakayocheza na Tottenham.

Wojciech Szczesny, Kieran Gibbs, Carl Jekinson, Per Mertesacker na Laurent Koscielny

Kiungo- Aaron Ramsey, Jack Wilshere na Thoams Rosicky

Ushambuliaji- Santi Cazorla Theo Walcott na Olivier Giroud.

KWENYE BENCH kuna:

Fabianski, Sagna, Monreal, Flamini, Zelalem, Gnabry na Sanogo
 
TEAM NEWS

Leo Sagna anakaa bench na Carl Jekinson akichukua nafasi yake na Rosicky anaanza huku Flamini nae akiwa anaanzia bench.

Kwahio timu rasmi itakayocheza na Tottenham.

Wojciech Szczesny, Kieran Gibbs, Carl Jekinson, Per Mertesacker na Laurent Koscielny

Kiungo- Aaron Ramsey, Jack Wilshere na Thoams Rosicky

Ushambuliaji- Santi Cazorla Theo Walcott na Olivier Giroud.

KWENYE BENCH kuna:

Fabianski, Sagna, Monreal, Flamini, Zelalem, Gnabry na Sanogo

kwa kikosi hiki tunashinda bila wasiwasi....
 
Timu moja ya huko kaskazini mwa UK imechezea uwanja wa nyumbani imeshinda leo na hiyo iwe ni kishawishi cha Arsenal nayo kushinda leo uwanjani kwake Emirates.
 
......COYG!!!

Mani-U kishawawakia kule,
Wanadonge haooo...
😄😄😄
 
......COYG!!!

Mani-U kishawawakia kule,
Wanadonge haooo...


Tukishinda leo tunashika nafasi ya nne kwa wingi wa magoli tayari tuna goli 4.

Halafu tutakuwa tumewapita Man Utd.

Jumamosi ya tarehe 14 tutakwenda kucheza na Sunderland na tutachukua points zote 3.
 
Back
Top Bottom