VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Do you know the meaning of that word? Au ndio kukurupuka kwenyewe. Khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtalia sana tu.
BTW nilikuwa namwangalia Rafa hapa kesha maliza mambo yake kwenye US open chacha namfuatilia Mr Woods ingawa anachechemea ... ..... ... kesho napanda ungo wangu natinga Emirates naona hali ya hewa itakuwa shwari. Chi unajua tena lazima Totts tuwabangue na huyu mia cat aliyetoroka kutoka kwenye cowshed.
Wapo Uefa CL elites lakini katika hilo basi Arsenal hapandi sababu hana vigezo vya kuwa mmoja wa CL elites. Kama umeshaibeba hiyo ndoo unaweza kuwa-considered as elite tena si mara moja ya one time wonder.
Gang Chomba atanisaidia . Ngoja nifaidi game ya LSU@TCU