Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1378046478041_lc_galleryImage_MUST_BYLINE_EROTEME_CO_UK.JPG


David Bekham anapenda sana kuangalia mechi za Arsenal. hapa akiwa anachukua picha chini ya maegesho ya magari yaliyo chini ya uwanja, na amekuja na mwanae wa mwisho Romeo.
 
Mpira wa adhabu unapigwa Rosicky amedondoshwa nje ya duara. Cazorla anapiga inapanguliwa na Loris na inakuwa kona ambayo Giroud anapaisha.
 
Girouuuuuuuuuuuuuud!

That was a classic Arsenal goal!

Arsenal 1 Tottenham 0
 
Tushafanza vitu vyetu Gunners 1 Tots 0
 
Tukishinda leo tunashika nafasi ya nne kwa wingi wa magoli tayari tuna goli 4.

Halafu tutakuwa tumewapita Man Utd.

Jumamosi ya tarehe 14 tutakwenda kucheza na Sunderland na tutachukua points zote 3.

Mipango ya washabiki wa Arsenal inafurahisha....eti tutakuwa tumewapita Man Utd!!!

Kwa hiyo kuwapita United with just 3 games played unaona ufahari?!?

Kweli Arsenal is also a wee club with wee plans!!
 
Kijana Jack Wilshere ameshindwa kuendelea na mchezo kutokana na kupata jeraha na nafasi yake itachukuliwa na Mathew Flamini.
 
Mipango ya washabiki wa Arsenal inafurahisha....eti tutakuwa tumewapita Man Utd!!!

Kwa hiyo kuwapita United with just 3 games played unaona ufahari?!?

Kweli Arsenal is also a wee club with wee plans!!

Na msipoangalia mtaangukia katikati ya msimamo wa ligi na kuchukua nafasi ya Everton.
 
Tukishinda leo tunashika nafasi ya nne kwa wingi wa magoli tayari tuna goli 4.

Halafu tutakuwa tumewapita Man Utd.

Jumamosi ya tarehe 14 tutakwenda kucheza na Sunderland na tutachukua points zote 3.

Inaelekea unatoka katika familia ya wafugaji au ulishawahi kuwa mchunga Ng'ombe. Maana wachungaji ndo huwa wana mawazo kama yako akishakaa machungani anaanza kuangalia mifugo na kuwaza mwaka huu ng'ombe mmoja akizaa nitakuwa nao sita na mwakani mwingine akizaa watakuwa saba hajui kuwa kuna kufa
 
Inaelekea unatoka katika familia ya wafugaji au ulishawahi kuwa mchunga Ng'ombe. Maana wachungaji ndo huwa wana mawazo kama yako akishakaa machungani anaanza kuangalia mifugo na kuwaza mwaka huu ng'ombe mmoja akizaa nitakuwa nao sita na mwakani mwingine akizaa watakuwa saba hajui kuwa kuna kufa

Wewe ni mmoja wao - The Arsene and Arsenal haters.

Sina mengi.
 
Tunahitaji goli la pili kumaliza mchezo.

So far timu yetu inatawala mchezo huku Cazorla, Ramsey na Rosicky wanamudu vema midfield.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kweli Mkuu kagoli kamoja hakatoshi kabisa.

Tunahitaji goli la pili kumaliza mchezo.

So far timu yetu inatawala mchezo huku Cazorla, Ramsey na Rosicky wanamudu vema midfield.
 
Diving zingine cheche sana...... Walker anajipeleka chini bila kuguswa....
 
Back
Top Bottom