Ka msimu ndo kanaishia.. any hopes for the transfer window?
Arsenal wanaandaa Emirates Cup na safari hii zitakuwemo timu za Napoli ya Italy, Garatasaray ya Turkey na FC Porto ya Portugal.
Mechi zitachezwa weekend ya Jumamosi tarehe 3rd August 2013 na Sunday August 2013.
Arsenal mwaka huu inachukulia usajili very serious na tayari mazungumzo yamekwishafanywa na baadhi ya wachezaji muhimu kabisa ingawa haijawekwa rasmi.
Tunahitaji CB pale nyuma, halafu CM pale katikati na STRIKER.
Kuna majina yametajwa Ashley Williams wa Swansea, Higuain wa Real Madrid na Jovetic wa Fiorentina lakini hakuna jina la CM bado isipokuwa inasemwa Arsenal inaweza kusajili wachezaji wawili wa kiungo Maxime Gonalons na Clement Grenier wa timu ya Lyon ya France.
Maxime Gonalons ni CM kamili na anaweza kuingia moja kwa moja kwenye first 11 maana pengo la Alex Songo bado lipo ila Clement Grenier ni AM (attacking midfilder) ambae atakuwa anachukua nafasi ya Thomasi Rosicky.
Nafikiri ni mapema mno lakini kuanzia katikati mwishoni mwa Juni ntapata data kamili.
NB:
Tottenham leo kashinda na amekaa nafasi ya nne kwa muda wamefurahi utadhani wameshinda kombe.
Kama ntakuwa free tukutane hapa Jumanne, maana ni muhimu sana kuifunga Wigan.