Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
aw cjui ni chizi.....ramsey out ox in dk 78
Alikuwepo katolewa.Hivi Podolsk yupo bench bado?
Arsenal wangecheza hivi tangu mwanzo wa msimu nadhani hivi sasa wangekuwa mabingwa.
Babu huyu anazeeka vibaya.aw cjui ni chizi.....ramsey out ox in dk 78
Babu huyu anazeeka vibaya.
Ni kama tulikuwa tunacheza 10 uwanjani kwa dk 70 za mpira. Sikuona alichokuwa akifanya Podolski uwanjani. Bora Giroud huwa anaifanya timu mbele ikae na mipira.
Sikuona pia sababu ya babu kumtoa Rosicky na kumuingiza Wislsher. Rosicky alikuwa akiunganisha vizuri beki na foward line na alikuwa akikaba. Baada ya kuingia Wilsher Arsenal wakapoteana kabisa. Ukiangalia kwa game za karibuni wilsher kiwango kimeisha kabisa.
Any way, hii ndio timu yetu. A gunner forever!
Umesahau kuwa tulishawahi kulichukulia kombe nyumbani kwenu? At Oldtrshford?
No champions league Arsenal next season. Time to really strengthern our team not the Manchesters'
Chifu, swali langu liliuliza, sijui Arsenal watafanyiwa lini hiyo 'guard of honour' na Man United?
Sasa hayo ya kuchukua ubingwa OT mwaka 2001 kwa goli la Wiltord yametokea wapi?
Lini Arsenal watapewa 'guard of honour' na Man United?
Walishafanyiwa mbele ya FERGIE mwaka 1991 kocha akiwa George Graham japo hukuwa umezaliwa