Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Its over wakulu, we need 4 goals in Munich! If they score one (which am sure they will do)- we'll need to score 5, impossible!
 
Its over wakulu, we need 4 goals in Munich! If they score one (which am sure they will do)- we'll need to score 5, impossible!

Unakumbuka timu ya simba ilifungwa 4-0 uwanja wa nyumbani na ikafunga 5-0 ugenini, ilikuwa ni timu ya Zambia.

mwaka 1979 Simba ilifungwa 4-0 na Mufulira Wanderers ya Zambia Dar es Salaam na watu wakakata tamaa ya timu kusonga mbele, lakini katika mchezo wa marudiano ikashinda 5-0 ugenini na kusonga mbele.

Hakuna lisilowezekana. Lakini Arsenal wana kazi ya kupanda mlima Kilimanjaro. Kwa wapenzi wa Arsenal poleni kwa kipigo lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa B.Munich ilikuwa timu bora leo na iliyostahiki kushinda.Walicheza kwa kiwango cha juu na walijenga ngome imara.
 
Unakumbuka timu ya simba ilifungwa 4-0 uwanja wa nyumbani na ikafunga 5-0 ugenini, ilikuwa ni timu ya Zambia.

mwaka 1979 Simba ilifungwa 4-0 na Mufulira Wanderers ya Zambia Dar es Salaam na watu wakakata tamaa ya timu kusonga mbele, lakini katika mchezo wa marudiano ikashinda 5-0 ugenini na kusonga mbele.

Hakuna lisilowezekana. Lakini Arsenal wana kazi ya kupanda mlima Kilimanjaro. Kwa wapenzi wa Arsenal poleni kwa kipigo lakini hakuna anayeweza kubisha kuwa B.Munich ilikuwa timu bora leo na iliyostahiki kushinda.Walicheza kwa kiwango cha juu na walijenga ngome imara.


Kaka ya Simba yaendane na Simba...
Ukitaka izungumzia Simba kwa sasa we taja Libolo.
 
TEACHER:
One day Arsenal will win a
Trophy, which tense is that?

BALANTANDA:
Future impossible tense!

TEACHER:
Very good, now class clap for him.
 
I wish Arsenal ingekua na uwezo wa kuloga kama Simba na sie tupite kimiujiza>>>

Unaamini habari za kuroga?
Mtumie ujumbe Wenger awaondoe mawe miguuni wachezaji wake na awafundishe kufyatua makombora kutoka mbali na lango, wasitegemee kufunga mabao ndani ya penalty box tu. Waache mbwembwe za changa twawala!

Hii haitoondoa kuwa B:Munich ni timu yenye wachezaji wazoefu na wajanja. Kama Arsenal watacheza kama hii mechi ya leo, ndio wajitayarishe kwa msimu mwingine, ndio imetoka!
 
FC Bayern Munchen..haiya weee.watu wamekimbizwa mwanzo mwisho. Huku ndio kunaitwa kukosa mtoto na maji ya moto mtu kakandwa
 
Bradford knocked you out
Blackburn have knocked you out
Bayern Munchen will knock you out

Remember the letter B




Next, it's Aston Villa. They are from Birmingham, and they have Benteke and Bent in their forward line.
 
Walete walete kati
wilshere2_1676662a.jpg
 
Ukiona Mtu Mzima analia kama mtoto ujue kuna mengi, inawezekana amefurahishwa sana au kaumizwa sana

wenger_1676521a.jpg
 
Back
Top Bottom