Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal hatuna kipa. Goli la pili tunafungwa na ndilo linapigilia msumari kwenye jeneza.
 
Dah....

Hii ni fedheha sasa......Utadhani tuko ugenini....

Hatuna beki wakuu
 
Wachezaji wa Arsenal wanaonyesha kuna tatizo. Hawachezi kwa kujituma na wanajipa kadi za njano zisizo na maana.
 
Timu inacheza hovyo kabisa....

Si ajabu tukafungwa 5.....Kadi ya 3 ya njano....

Wenger sijui anampendea nini Ramsey....kiungo kimepwaya....

Hali ni tete....mpaka dakika ya 25 hakuna goal attempt wala shot on target...Aibu kwelikweli
 
Mpaka dakika ya 26.... as am posting this Hatuna gola attempt hata moja..... AIBU sana.....
 
arsenal mmeshapoteana!hapa cha maana tu wajitahidi wasifungwe jingine kabla ya ht ili wajipange vizuri kipindi cha pili
 
Back
Top Bottom