Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Dah... Benchi la Beyern limesimama mbaya... kila sub watakayofanya MSUMARI....

Its a very good opportunity kwa Arsenal kutafuta magoli ya mapema, Kocha wa Bayern kaamua kucheza kamali mwanzoni
 
Its a very good opportunity kwa Arsenal kutafuta magoli ya mapema, Kocha wa Bayern kaamua kucheza kamali mwanzoni

Una maana kwamba hiyo starting line up yao FAMBA??? If YES u r very wrong mazee.... hii inaonyesha how their squad depth is better than ours.... ukichukulia nasi pia tuna BOX RAMBO pale kati.....let me enjoy the CL b4 its gone.....
 
Thomas Muller na Schweinsteiger ni watu wa kuwachunga sana na ndio mhimili wa kiungo ya Bayern Munich.
 
Timu zimekwishingia uwanjani na waamuzi wao. Mwamuzi wa mchezo wa leo anaitwa Svein Oddvar Moen kutoka Norway na wasaidizi wake pia kutoka nchi hiyo.
 
Nasikia aseno itashinda moja na goli kutoka kwa ramsey na kesho papa ben 16 tunamzika sijui yakweli haya..
 
Una maana kwamba hiyo starting line up yao FAMBA??? If YES u r very wrong mazee.... hii inaonyesha how their squad depth is better than ours.... ukichukulia nasi pia tuna BOX RAMBO pale kati.....let me enjoy the CL b4 its gone.....

Sina maana kikosi kilichoanza ni FAMBA ila fikiria kama Roben na Ribery wote wangeanza kwenye wings ngekuwaje na Gomez awepo kati, bila shaka mabeki wa pembeni wa Arsenal wangekuwa na kazi ya ziada, lakini kwa kikosi walichoanzisha ni upande mmoja tu atakaokuwepo Ribery ndo utakuwa bize zaidi.
 
Arsenalnao wanapata kona dakika ya 5 kona hiyo inapotea na kuwa goalkick
 
Leo Arsenal Mashabiki wameamua wamenikumbusha Enzi za Liverpoolfc CL Mashabiki wanawapa wachezaji ni kitu sijawahi kukiona kwa Mashabiki wa Arsenal hii inaonyesha wamechoka Mashabiki ss wanataka Zawadi kwa Wachezaji wao wakikamua watashinda Arsenal. Nawatakia kila la kheri.
 
Dakika ya 7 tumepigwa goli la kwanza.

Toni Kroos anafunga goli la kiufundi.
 
Kweli hii timu ni km Kuber ilivyopigwa marufuku toka India
Inafungwa goli la mapema kwa kujikanyaga kanyaga.
 
Back
Top Bottom