Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

VERM kule kushoto anapwaya saana...... Katikati ndo MFU bin Maiti..... HOVYO kabisa.....
 
VERM kule kushoto anapwaya saana...... Katikati ndo MFU bin Maiti..... HOVYO kabisa.....

Mkuu Vermaelen hiyo si nafasi yake anacheza nafasi ya Gibbs na Monreal, hivyo ni lazima acheze bila ufanisi.
 
Bunduki ni km Chandarua cha Hati Punguzo hivi ndy wamelowa kama masika
Wakienda Ujerumani nadhani itakuwa km sikio la kufa.
Sehemu ya kufunga wanajikanyaga kanyaga,kipindi cha pili wabadilike sana.
 
Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mwanzo walikuwa wazuri sasa wameoza timu nzima
 
Bunduki ni km Chandarua cha Hati Punguzo hivi ndy wamelowa kama masika
Wakienda Ujerumani nadhani itakuwa km sikio la kufa.
Sehemu ya kufunga wanajikanyaga kanyaga,kipindi cha pili wabadilike sana.

Chandarua cha hati punguzo kinapisha mbu balaa
 
Bastian Schweinsteiger amepewa kadi ya njano kufanya ziwe tatu hivyo hatacheza mechi ya marudiano.
 
Vermaelen anagharimu timu.....

Ni mara kumi angeanzishwa Rosicky ambaye anaujua mpira wa kijerumani kiliko Ramsey....Kiungo kinepwaya kweli...

Bastian Schweinteiger anamiss 2nd leg
 
Ramsey atolewe na aingie Olivier Giroud ili akamiliki mipira kule mbele. Walcott aende kucheza upande wa kulia na kumsumbua Alaba ambae mpaka sasa anatamba sana.
 
tatizo lenu hamjaribu inaonekana kabisa mkijaribu mtapata hata kadroo msipofanya hivyo mkajipange msimu ujao..
 
Back
Top Bottom